Ulichoongea ni kweli kabisa.. Sema hapa tutapinga kutokana na madhara ya hiyo elimu tuliyopata.. Hasa wale ambao wamekalia madawati ya vyuo vikuu miaka 3/4 na hawajapata ajira..
Nina mdogo wangu,, kamaliza kidato cha sita mwaka 2014 akapata div3 ya point 11.. Hakupata Chuo kwa kozi aliyokua anataka (udaktari).. Nikamshauli aje jeshini then atasoma baadae.. Akapinga sasa hivi anaangaika mtaani wakati wale wenzake wapo TMA.. kiukweli haina haja ya kuunga Chuo direct wakati hakuna mustakabali mbeleni.. Sikwenda Chuo ila nimeajiriwa.. Plan.. Plan
I Smell Lies Here.!! Form 6 wamalize mwaka 2014 (last year) leo wawe TMA? hauko peke ako humu JF
Hzo ni kauli za mtoa maada ni za watu ambao wameshndwa shule.. braza kuna watu dunia hii selected..i mean kla mtu ana destiny yke.. umemtolea mfano diamond sawa..aya na ww kawe diamond bas..usije kumpeleka mwanao shule tangu utotoni mfundshe aje kuwa kam bakhresa na yey,yaan tunapofeli wabongo apo wanapenda kufanya comparison na watu flan...acha kuleta thread zisizo na kchwa wala miguu..
Hujanielewa...Nimeanza kwa kusema ,si kwamba ninapinga Elimu La! hasha....Hzo ni kauli za mtoa maada ni za watu ambao wameshndwa shule.. braza kuna watu dunia hii selected..i mean kla mtu ana destiny yke.. umemtolea mfano diamond sawa..aya na ww kawe diamond bas..usije kumpeleka mwanao shule tangu utotoni mfundshe aje kuwa kam bakhresa na yey,yaan tunapofeli wabongo apo wanapenda kufanya comparison na watu flan...acha kuleta thread zisizo na kchwa wala miguu..
Sikubaliani na wewe hata kidogooMkuu nikimpa Laki tatu mtu ambaya ajawahi kusoma shule,mtu wa darasa la saba,mtu wa form four,mtu wa form six,na mtu wa chuo nikawaambia wafungue biashara nadhani upatikanaji wa faida na hata utumiaji wa hzo fedha utakua tofauti saaana.hapo nadhani umeona umuhimu wa kila level ktk elimu.
Sikubaliani na wewe hata kidogoo
Nimeshatolea mfano wa Mch.Stefano Mosha Elimu yake ilikuwa ya form four...lakini alikuwa na maono mpaka akawezesha kujengwa hospitali ya KCMC(moja kati ya hospitali muhimu Tanzania) sasa mbona kulikuwa na wasomi zaidi yake ,Je?walifanya nini?
kama hiyo haitoshi
Mh.Sheikh Abeid Amaan Karume Elimu yake ilikuwa ni darasa la ngapi?
Lakini alikuwa na maono ya kuikomboa Zanzibar na akafanikiwa,Je?wasomi wa kipindi hicho walikuwa wapi?
Sikubaliani na wewe hata kidogoo
Nimeshatolea mfano wa Mch.Stefano Mosha Elimu yake ilikuwa ya form four...lakini alikuwa na maono mpaka akawezesha kujengwa hospitali ya KCMC(moja kati ya hospitali muhimu Tanzania) sasa mbona kulikuwa na wasomi zaidi yake ,Je?walifanya nini?
kama hiyo haitoshi
Mh.Sheikh Abeid Amaan Karume Elimu yake ilikuwa ni darasa la ngapi?
Lakini alikuwa na maono ya kuikomboa Zanzibar na akafanikiwa,Je?wasomi wa kipindi hicho walikuwa wapi?
mi FUN yangu haipo chuo
Hivi umeshawahi kujiuliza tofauti kati ya zama za kale walizoishi babu zetu na zama hizi za utandawazi tunazoishi sasa..?!
Elimu ni rasilimali apatayo mtu kumsaidia binafsi na kuisaidia jamii yake pia. Pia kuna kazi ambazo huwezi kufanya bila kupitia chuoni mf. MaDaktari.
Pia ukiwa na elimu ya juu uwezo wako wa kupambanua mambo huongezeka pia.!
Pia sio vyema sana kujenga nadharia ya utajiri vs usomi (si kila msomi ni tajiri au kila tajiri ni msomi!!). Au nadharia ya kuwa watu wanasoma ili kuwa matajiri!!