Watu wanakwenda University/Chuo ili iwe nini?

Watu wanakwenda University/Chuo ili iwe nini?

Ngoja nianze hivi:

Mtu anaanza kua na maono, alafu anatafuta njia ya kufanikisha yale maono.

Mimi binafsi tangu utotoni nilitamani sana kua mkulima mkubwa, lakini wazazi wangu waliniambia nifute hayo mawazo .miaka imeenda na chuo nikasoma environmental engineering lakini bado passion yangu bado haikubadilika ya kua mkulima..

Nilimaliza chuo na kazi nikapata sasa hivi natumia mshahara wangu kama mtaji wa kuwekeza kwenye mashamba. Nimeweza kununua mashamba mbalimbali kwa kutumia mshahara wa kazi yangu na vilevile kwa kutumia mikopo ambayo naipata kwakua nimeajiriwa.

Sasa kwa mtazamo wangu naona elimu ya chuo imenisaidia kuyapata haya mashamba... Kutimiza lengo langu lakua mkulima mkubwa na miaka michache imebaki kabla sijaingia kwenye ukulima full time... Kwahiyo naweza nikasema my university education has become a vehicle to fullfill my vision..

Kwahiyo kama wenzangi walivyosema its all about planning....
 
Una elimu gani wewe? Okay hao wanaomaliza form six wamefundishwa na watu gani? Unavyougua unaenda hospitali au unatumia miti shamba? Barabara unazopita zimejengwa na akina nani?
yeye ameandika amejifikiria yeye kama yeye nafaida anayopata na sio jamii iliyomzunguka, kusema kweli baadhi ya kazi unasidia jamii zaidi kuliko ww unavyonufaika , mfano walimu .
 
Umekosa chuo nini? Jaribu mwakani unaweza pata.
 
Haya yote uliyoongea ni matokeo ya mfumo mbovu uliofanya vijana wengi kuwa mtaani bila ajira, unairelate elimu na ajira na kisha kutoa value, wewe ni mjinga.
 
dugu, tatizo lililopo ni hili tunaishi kwenye jamii isiyokua na malengo ambayo haijitahmini kwamba baada ya kipindi fulani mtu awepo sehemu fulani nikiwemo mimi hapa, kipindi ninasoma chuo sikua na malengo yoyote yale nilichagua kozi ya sheria ambayo nilichagua tu sababu rafiki yangu fulabi alikua anaipenda hivyo akani convince kitu ambacho ninainterest nacho ni kutengeneza vikatuni na music videos sijutii kusoma hiyo kozi maana mpaka sasa hivi ninaweza kulinda mawazo yangu kisheria(intellectual property), ninaweza kunegotiate mkataba na pia kusajili kampuni kitu ambacho mbeleni nitakuja kukifanya, hivyo ningekua na malengo mazuri kipindi nipo chuoni ningeanzaga kujishughulisha mapema by the time ninamaliza ningekua mbali sana.

2.Suala la watu kusomea vitu vingine na kufanya vitu vingine hili ni suala binafsi na uelewa wa mtu unachangia watu kutokana na wewe mtu kuweza kujiuza kitu ambacho wahitimu wengi hawawezi either kuandika barua za kazi, pili hata kujua uombe vipi hiyo kazi technique namba moja ninayoikubali ni kutumia masomo uliyosoma na kufanya uwiano na kazi iliyotangazwa na pia watu waliosoma wengi wanakuaga na ujinga fulani mfano amesomea kiswahili na anaona kuna tangazo la kazi ya translator anashindwa kujiuza kuonesha ile kazi anaiweza ingawa anaehitajika ni mtu aliesomea kiingereza hivyo wengi hua hawaelewi mtu anaweza fanya kazi yoyote ile kutokana na kuicategorize degree uliyoisomea i.e social sciences,business studiea etc nikiri kwa degree yangu ya sheria sasa hivi ninafanya kazi ya social science sababu niliweza kujiuza vizuri hivyo wasomi wabadilike kwenye suala hilo

3.kuhusu suala la wahindi na kutokusoma hilo ninalipinga maana asilimia kubwa ya wahindi wamesoma hatakama ni kuunga unga lakini vyuoni watakwenda either mumbai,canada, au uingereza na fani zao hua ni udaktari, engineering na accountancy kama unabisha angalia mtandao wa linkedin uone cv zao, ambae atakua ameunga unga utamkuta amesoma learn IT, diploma ya IT na kuendelea na wengi utakuta wanakampuni za IT au wameajiriwa kama IT personnel, kuhusu kufanya biashara wengi wao wanaelewa nini maana ya umaskini hivyo wamejiwekeza kwenye biashara kwa kupata mitaji either kihalali au isivyo halali na pia hawana ubinafsi bali husaidiana wao kwa wao bila matatizo tatizo letu waswahili hata tukitaka kuinuana kifamilia lazima atatokea mpigaji moja atataka kudhulumu watu wote either hela au chochote pia sisi waswahili hatuna uaminifu unakuta mtu anakukopa elfu 50 anasema wiki ijayo nitakurudishia lakini anaaanza kua chenga etc etc oh mambo yameingiliana sijui nini na nini

Kwaio suluhisho ni hili mtu inabidi uwe na maleng na hiyo shule au chuo unachoenda kusomea pia watu wasikariri unachosomea ndo utakacho kuja fanyia kazi sababu soko la ajira haliwezi accomodate watu wote hence only the best are selected(sio interms of GPA bali jinsi unavyojiuza)na pia unachotakiwa kujua ni kwamba mchakato wa kusoma ni mrefu sana maana stnd 1-form 6 ni miaka 13 ya kusoma hiyo kama umeanza shule na miaka 7 na kama haujafeli unamaliza form 6 na miaka 20 jumlisha miaka mitatu au minne ya chuo hapo ni balaa unakuja mtaani hujui kujiuza huna mawazo alternative zaidi ya kuajiriwa unakua frustrated maana expectations na reality hazija kutana.....nashauri watu wagoogle kitabu cha poor dad rich dad ni alternate ya kuondoa frutration za maisha na pia watu wamshirikishe Mungu katika kupata mawazo bora ya biashara maana binafsi nimeona umuhimu wake bado kutekeleza tu....nimetumia simu niwie radhi kama maandishi hayajakaa vizuri na pia ni ndefu sana
 
In school we learn that mistakes are bad,
and we are punished
for making them. Yet,
if you look at the way
humans are designed
to learn, we learn by making mistakes. We
learn to walk by
falling down. If we
never fell down, we
would never walk.
 
Ulichoongea ni kweli kabisa.. Sema hapa tutapinga kutokana na madhara ya hiyo elimu tuliyopata.. Hasa wale ambao wamekalia madawati ya vyuo vikuu miaka 3/4 na hawajapata ajira..

Nina mdogo wangu,, kamaliza kidato cha sita mwaka 2014 akapata div3 ya point 11.. Hakupata Chuo kwa kozi aliyokua anataka (udaktari).. Nikamshauli aje jeshini then atasoma baadae.. Akapinga sasa hivi anaangaika mtaani wakati wale wenzake wapo TMA.. kiukweli haina haja ya kuunga Chuo direct wakati hakuna mustakabali mbeleni.. Sikwenda Chuo ila nimeajiriwa.. Plan.. Plan

Kitu ambacho tunashindwa kuelewa ni kuwa maisha hayana reli kwamba kila mtu atapitia pale anapopita mwingine. Sio lazima kila mtu aende chuo kikuu, na kusoma pia sio guarantee ya kuwa na kazi au maisha mazuri. Elimu ni kama silaha wakati wa amani. Tunaziandaa na kuzitunza vyema bila kujua lini hasa zitahitajika. Ila haimaanishi kila anaetengeneza silaha lazima atakwenda vitani.

Wewe umebahatika kupata kazi inayoridhisha kwa elimu ulionayo. Sasa fikiri kama kila mtu angekwenda jeshini, dunia ingekuaje? Au kila mtu angekua mwanamuziki. Maisha yangekua magumu saana. So kuna mgawanyiko wa asili katika dunia, tunahitaji watu wa kila namna ila mwisho wa siku lengo ni kuishi maisha mazuri yenye furaha bila kujali tumepita njia gani. Ila kumbuka sio kila lengo huwa linatekelezeka
 
Ikiwa umeshindwa kuelewa anachosema mleta mada, basi hata hiyo Elimu kiduchu unayodai unayo ni Bure kabisa.
 
dugu, tatizo lililopo ni hili tunaishi kwenye jamii isiyokua na malengo ambayo haijitahmini kwamba baada ya kipindi fulani mtu awepo sehemu fulani nikiwemo mimi hapa, kipindi ninasoma chuo sikua na malengo yoyote yale nilichagua kozi ya sheria ambayo nilichagua tu sababu rafiki yangu fulabi alikua anaipenda hivyo akani convince kitu ambacho ninainterest nacho ni kutengeneza vikatuni na music videos sijutii kusoma hiyo kozi maana mpaka sasa hivi ninaweza kulinda mawazo yangu kisheria(intellectual property), ninaweza kunegotiate mkataba na pia kusajili kampuni kitu ambacho mbeleni nitakuja kukifanya, hivyo ningekua na malengo mazuri kipindi nipo chuoni ningeanzaga kujishughulisha mapema by the time ninamaliza ningekua mbali sana.

2.Suala la watu kusomea vitu vingine na kufanya vitu vingine hili ni suala binafsi na uelewa wa mtu unachangia watu kutokana na wewe mtu kuweza kujiuza kitu ambacho wahitimu wengi hawawezi either kuandika barua za kazi, pili hata kujua uombe vipi hiyo kazi technique namba moja ninayoikubali ni kutumia masomo uliyosoma na kufanya uwiano na kazi iliyotangazwa na pia watu waliosoma wengi wanakuaga na ujinga fulani mfano amesomea kiswahili na anaona kuna tangazo la kazi ya translator anashindwa kujiuza kuonesha ile kazi anaiweza ingawa anaehitajika ni mtu aliesomea kiingereza hivyo wengi hua hawaelewi mtu anaweza fanya kazi yoyote ile kutokana na kuicategorize degree uliyoisomea i.e social sciences,business studiea etc nikiri kwa degree yangu ya sheria sasa hivi ninafanya kazi ya social science sababu niliweza kujiuza vizuri hivyo wasomi wabadilike kwenye suala hilo

3.kuhusu suala la wahindi na kutokusoma hilo ninalipinga maana asilimia kubwa ya wahindi wamesoma hatakama ni kuunga unga lakini vyuoni watakwenda either mumbai,canada, au uingereza na fani zao hua ni udaktari, engineering na accountancy kama unabisha angalia mtandao wa linkedin uone cv zao, ambae atakua ameunga unga utamkuta amesoma learn IT, diploma ya IT na kuendelea na wengi utakuta wanakampuni za IT au wameajiriwa kama IT personnel, kuhusu kufanya biashara wengi wao wanaelewa nini maana ya umaskini hivyo wamejiwekeza kwenye biashara kwa kupata mitaji either kihalali au isivyo halali na pia hawana ubinafsi bali husaidiana wao kwa wao bila matatizo tatizo letu waswahili hata tukitaka kuinuana kifamilia lazima atatokea mpigaji moja atataka kudhulumu watu wote either hela au chochote pia sisi waswahili hatuna uaminifu unakuta mtu anakukopa elfu 50 anasema wiki ijayo nitakurudishia lakini anaaanza kua chenga etc etc oh mambo yameingiliana sijui nini na nini

Kwaio suluhisho ni hili mtu inabidi uwe na maleng na hiyo shule au chuo unachoenda kusomea pia watu wasikariri unachosomea ndo utakacho kuja fanyia kazi sababu soko la ajira haliwezi accomodate watu wote hence only the best are selected(sio interms of GPA bali jinsi unavyojiuza)na pia unachotakiwa kujua ni kwamba mchakato wa kusoma ni mrefu sana maana stnd 1-form 6 ni miaka 13 ya kusoma hiyo kama umeanza shule na miaka 7 na kama haujafeli unamaliza form 6 na miaka 20 jumlisha miaka mitatu au minne ya chuo hapo ni balaa unakuja mtaani hujui kujiuza huna mawazo alternative zaidi ya kuajiriwa unakua frustrated maana expectations na reality hazija kutana.....nashauri watu wagoogle kitabu cha poor dad rich dad ni alternate ya kuondoa frutration za maisha na pia watu wamshirikishe Mungu katika kupata mawazo bora ya biashara maana binafsi nimeona umuhimu wake bado kutekeleza tu....nimetumia simu niwie radhi kama maandishi hayajakaa vizuri na pia ni ndefu sana
Angalau umeelewa nina maanisha nii uzini (ndani ya uzi huu).
 
Nianze kumnukuu Shaaban Robert ktk riwaya yake ya KUFIKIRIKA alisema “elimu ni mzigo mzito ambao aliyeubeba hutambua thamani ya uzito wake na kamwe hafikirii kuutua japo wamzungukao wanaweza kumbeza kwani hawaoni umuhim wake” ninachotaka kukwambia mtoa mada ni kwamba, elimu isichukuliwe tu kama nyenzo itakayomfanya mtu aajiriwe,aweze kujiajiri na kuishi maisha mazuri Bali iwe ni itazamwe kama nyenzo ya kuleta,kupindua au kubadili fikra. Chanzo cha fikra njema ni elimu hivyo Basi sio lazima umuhim Wa elimu ya uuone kwa macho.
 
Back
Top Bottom