chakudunda
New Member
- Aug 13, 2024
- 4
- 4
Asilimia kubwa ya biashara zinazokufa ni za wale watu ambao wanaomba mawazo mfano nna milioni Moja na laki tano nifanye biashara gani ?
Hizi biashara huwa hazichukui mda mrefu kwasababu mtu anafanya biashara ambayo Hana uzoefu nayo na sio Kila biashara Ina inauzika Kila sehem
UNAWEZA TUMIA NJIA ZIFUATAZO KUJUA BIASHARA YA KUFANYA SEHEM ULIYOPO.
1. IGA angalia biashara inayouzika sehemu fulani uko kwenu na wewe IGA iyo biashara na ikiwezeka fanya katika eneo Hilo isiwe mbali na hapo.
2.Angalia changamoto za watu apo katika eneo ulilopo fanya utatuzi mfano watu wanalalamika bidhaa flani inapitikana mbali ww fanya michakato wa kuisogeza karibu.
3.Iga biashara ya mtu alafu endeleza.
N:B Kuiga sio dhambi
#J
Hizi biashara huwa hazichukui mda mrefu kwasababu mtu anafanya biashara ambayo Hana uzoefu nayo na sio Kila biashara Ina inauzika Kila sehem
UNAWEZA TUMIA NJIA ZIFUATAZO KUJUA BIASHARA YA KUFANYA SEHEM ULIYOPO.
1. IGA angalia biashara inayouzika sehemu fulani uko kwenu na wewe IGA iyo biashara na ikiwezeka fanya katika eneo Hilo isiwe mbali na hapo.
2.Angalia changamoto za watu apo katika eneo ulilopo fanya utatuzi mfano watu wanalalamika bidhaa flani inapitikana mbali ww fanya michakato wa kuisogeza karibu.
3.Iga biashara ya mtu alafu endeleza.
N:B Kuiga sio dhambi
#J