Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha ubaguzi, mbona Ebola pia ilihusishwa na kula nyani na wanyama wa porini lakini dunia iliungana na Afrika katika kuzuia usisambae, nani mwenye haki ya kuamua mnyama au mdudu gani anafaa kuliwa?, mbona nguruwe ambaye wengi wetu tunamla sana pia hukumbwa na magonjwa mabaya hadi dunia inapiga marufuku nyama yake?Nyingine hii hapa. Tazama jinsi hawa watu wachawi wanavyokula popo
Kitu cha kushangaza wagonjwa wote wa Afrika Mashariki au Afrika kwa uumla wametoa ugonjwa Uaya sio China.wamesababisha hii china virus inasambaa kwa kasi Africa
Bila kusahau huko Kenya Jana wamempiga mpaka kumuuwa mwenzao kisa wamemuhisi ana corona Kama sio uchawi huu ni niniWacha ubaguzi, mbona Ebola pia ilihusishwa na kula nyani na wanyama wa porini lakini dunia iliungana na Afrika katika kuzuia usisambae, nani mwenye haki ya kuamua mnyama au mdudu gani anafaa kuliwa?, mbona nguruwe ambaye wengi wetu tunamla sana pia hukumbwa na magonjwa mabaya hadi dunia inapiga marufuku nyama yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa basi tuendelee kula popo tu na kufa kama wajingaMkuu nimetumia akili ya kuzaliwa nayo kujiuliza mbwa hajazuiwa chochote mdomoni, wala kufungwa kamba miguuni kumzuia asipambane kujiokoa kwenye moto.
Mbwa kakubali anawekwa kwenye maji ya moto hang'ati mtu wala kukimbia, analia tu na kutulia kwenye dishi la maji ya moto kama mtoto anaogeshwa kwenye beseni la maji vugu vugu!???
Au kapigwa dawa ya kupooza misuli? Kama hivyo mbona anaweza kuachama mdomo na kulia?
Kuku, ndege wa porini, wanyama pori wengi wana virus wa kuweza kuuwa binadamu lakini duniani kote wanaliwa toka karne nyingi hadi kesho na hakuna lawama na makelele kama haya.
Achana na hii kitu ya kutaka watu wote wale na kuishi kama watu wa magharibi.
Movie karibu zote za vita au ukatili za hoolywood zinaonesha wazungu watu wema na waarabu, waafrika na watu wa Asia ni makatili, wachafu, hawajastaarabika huku kipimo cha ustaarabu kikiwa utamaduni wa wazungu.
Utashangaa mengi mazuri wanayo jisifia wazungu ustaarabu yametokea maeneo hayo wanayo kuaminisha sio wastaarabu.
Ikifika kwenye chakula na mavazi tu ndio vya kwao ni izuri na ustaarabu.
Wacha ubaguzi, mbona Ebola pia ilihusishwa na kula nyani na wanyama wa porini lakini dunia iliungana na Afrika katika kuzuia usisambae, nani mwenye haki ya kuamua mnyama au mdudu gani anafaa kuliwa?, mbona nguruwe ambaye wengi wetu tunamla sana pia hukumbwa na magonjwa mabaya hadi dunia inapiga marufuku nyama yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko China popo wamekuwa wakiliwa tangu zama za kale tatizo la Coronavirus limejitokeza mwishoni mwa 2019.Sawa basi tuendelee kula popo tu na kufa kama wajinga
Ndio mbalut na inaliwa China, Vietnam, Cambodia, Indonesia, Thailand na Malaysia.Unashangaa hyo.
Wanayachukua mayai wanayaweka kwenye incubator ya kutotoleshavifaranga wanayaweka mayai kwa siku 15 alafu wana yatoa.
Alafu wanayachemsha ndani yanakuwa na kifaranga.
Sent using Jamii Forums mobile app