Watu wanaofanya Kenya, Tanzania na Dunia nzima iumie ni hawa Wachina. Hebu tazama jinsi wanavyofanyia mbwa

Watu wanaofanya Kenya, Tanzania na Dunia nzima iumie ni hawa Wachina. Hebu tazama jinsi wanavyofanyia mbwa

Some facts :
FAR EAST +SOUTH EAST ASIA AVERAGE LIFE EXPECTANCY IS 77 years , Which is more than Mauritius (a country with the highest life expectancy in Africa ): Mauritius life expectancy is 74.3 and Africa average life expectancy is 54 years .

Pamoja na kuwaponda kuwa wanakula vyakula vya hovyo ( By western standards) .It’s obvious jamaa wametuacha mbali.
 
When resources are scarce hii huwa fashion. Hata kwetu kidogo tule majani na mizizi tulipoelekeza resources mahala pasipo tija tukasababisha scarcity. Inzi mende etc utakula tu, nyoka akikatiza tu amekwisha etc
 
Tazama video uone jinsi hawa watu washamba hukula vitu vya ajabu. Halafu anapika umbwa ikiwa bado hai. Hii corona ingewamaliza wote. Sasa Kenya na Tanzania tunaumia bure tu
Kusema ukweli China imetuletea haya maafa Uhuru anapaswa kuwambia kuwa deni zao SGR nk. tunaelekeza kukabiliana na corona virus.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom