Watu wanaopenda kukaa chooni muda mrefu: Ushauri plz

Watu wanaopenda kukaa chooni muda mrefu: Ushauri plz

Ha ha ha ha, nimekupenda bure khah!

Mimi pia hupenda kukaa chooni zaidi ya dakika 15 karibu kila siku hasa nyakati za asubuhi nikitoka kitandani na jioni mara chache. Na huwa nakaa nikiwa katika choo cha chumbani kwangu tu, nikisafiri au nikienda ugenini SIWEZI KABISAAA. Tabia yangu ni kama ifuatavyo...nikiamka tu kitandani huwa siwezi kwenda kujimwagia maji moja kwa moja kwani nahisi kama nakuwa na mawenge ya usingizi pili ni kawaida yangu lazima nipate choo kubwa asubuhi kabla sijaenda kazini kwani sipendi kujisaidia haja kubwa kwenye public toilets...sasa nikiamka naenda kukaa chooni (choo cha kukaa) ili mwili uondokane na usingizi pia wakati huo tumbo linaachia chakula nilichokula jana yake usiku taratibu hadi napata choo (sina tabia ile ya kubanwa na hajakubwa hadi usikie kinakaribia kugonga chupi ndio ukimbie chooni NO NO NO)...wakati napokuwa nimekaa chooni huwa nakuwa na mawazo mengi tofauti tofauti ya kazini,maisha,biashara,afya,shamba,nyumba,dini,shule etc inategemea napitia pito gani au furaha gani wakati huo na mara nyingine nakumbuka hadi mambo ya utotoni kabisa (Nazama na kupotea ktk mawazo kabisaa kama vile naota fulani hivi nikistuka hapo navuta pumzi ndefu moja then nanyanyuka naoga nakuwa fresh kwenda job)...SASA hapo sijui kama nina tatizo la kisaikolojia au ni nini? Nilishawahi kujiuliza mwenyewe nakosa jibu..nashukuru Mungu situmii public toilets. SI KWELI KAMA KUNA KUPIGA PU**ETO kama baadhi yenu mnavyofikiria.
 
Mimi pia hupenda kukaa chooni zaidi ya dakika 15 karibu kila siku hasa nyakati za asubuhi nikitoka kitandani na jioni mara chache. Na huwa nakaa nikiwa katika choo cha chumbani kwangu tu, nikisafiri au nikienda ugenini SIWEZI KABISAAA. Tabia yangu ni kama ifuatavyo...nikiamka tu kitandani huwa siwezi kwenda kujimwagia maji moja kwa moja kwani nahisi kama nakuwa na mawenge ya usingizi pili ni kawaida yangu lazima nipate choo kubwa asubuhi kabla sijaenda kazini kwani sipendi kujisaidia haja kubwa kwenye public toilets...sasa nikiamka naenda kukaa chooni (choo cha kukaa) ili mwili uondokane na usingizi pia wakati huo tumbo linaachia chakula nilichokula jana yake usiku taratibu hadi napata choo (sina tabia ile ya kubanwa na hajakubwa hadi usikie kinakaribia kugonga chupi ndio ukimbie chooni NO NO NO)...wakati napokuwa nimekaa chooni huwa nakuwa na mawazo mengi tofauti tofauti ya kazini,maisha,biashara,afya,shamba,nyumba,dini,shule etc inategemea napitia pito gani au furaha gani wakati huo na mara nyingine nakumbuka hadi mambo ya utotoni kabisa (Nazama na kupotea ktk mawazo kabisaa kama vile naota fulani hivi nikistuka hapo navuta pumzi ndefu moja then nanyanyuka naoga nakuwa fresh kwenda job)...SASA hapo sijui kama nina tatizo la kisaikolojia au ni nini? Nilishawahi kujiuliza mwenyewe nakosa jibu..nashukuru Mungu situmii public toilets. SI KWELI KAMA KUNA KUPIGA PU**ETO kama baadhi yenu mnavyofikiria.
Dakika kumi na tano tuuu!! Mie nadhani hata huyo anayelalamikiwa hafui dafu kwangu.!! Yaani kwa choo is the only place ambayo huwa nakaa kwa utulivu zaidi na kupanga ratiba yangu ya siku! Huwa tunagombana sana na wife anavyokuja anabamiza mlango wakati nikuwa nawaza na kuwazua nikiwa humo ndani!! Baada ya hapo nakuwa fiti kimwili,kiakili na kiroho!!....ila mkuu hebu tusubirie majibu ya wengine isijekuwa tuna ugonjwa utokanao na kuumwa na mende....si unajua yale ndio makazi yao!!!!???
 
salams
nina ndugu yangu huwa akiingia chooni kuchukua muda wa nusu saa hadi lisaa limoja. si kwa haja ndogo, kubwa au kuoga, muda wowote akiingia huchua muda huo.

najua usafi kwa mwislam unaanzia chooni lakini kwa hali hii naona unapitiliza, nashindwa kumuuliza anafanya nini muda wote huo na labda kama kuna tatizo la kisaikolojia la kupenda tu kukaa chooni muda mrefu hivi. naomba ufafanuzi kwa wenye elimu juu ya hilo. majibu wa kihuni sitarajii kama vile pu....**%$#@...o sidhani kuwa ni sahihi

'mpango wa kuchunguzana hauna maana bwana,kwani wee unapofanya mambo yako nani anakuchunguza?,usiwe mswahili kiasi hicho ndugu fanya yako then muache nae afanye yake hata kama akikaa sana wee inakuhusu nini,muache............mind your business sio'
 
Mimi pia hupenda kukaa chooni zaidi ya dakika 15 karibu kila siku hasa nyakati za asubuhi nikitoka kitandani na jioni mara chache. Na huwa nakaa nikiwa katika choo cha chumbani kwangu tu, nikisafiri au nikienda ugenini SIWEZI KABISAAA. Tabia yangu ni kama ifuatavyo...nikiamka tu kitandani huwa siwezi kwenda kujimwagia maji moja kwa moja kwani nahisi kama nakuwa na mawenge ya usingizi pili ni kawaida yangu lazima nipate choo kubwa asubuhi kabla sijaenda kazini kwani sipendi kujisaidia haja kubwa kwenye public toilets...sasa nikiamka naenda kukaa chooni (choo cha kukaa) ili mwili uondokane na usingizi pia wakati huo tumbo linaachia chakula nilichokula jana yake usiku taratibu hadi napata choo (sina tabia ile ya kubanwa na hajakubwa hadi usikie kinakaribia kugonga chupi ndio ukimbie chooni NO NO NO)...wakati napokuwa nimekaa chooni huwa nakuwa na mawazo mengi tofauti tofauti ya kazini,maisha,biashara,afya,shamba,nyumba,dini,shule etc inategemea napitia pito gani au furaha gani wakati huo na mara nyingine nakumbuka hadi mambo ya utotoni kabisa (Nazama na kupotea ktk mawazo kabisaa kama vile naota fulani hivi nikistuka hapo navuta pumzi ndefu moja then nanyanyuka naoga nakuwa fresh kwenda job)...SASA hapo sijui kama nina tatizo la kisaikolojia au ni nini? Nilishawahi kujiuliza mwenyewe nakosa jibu..nashukuru Mungu situmii public toilets. SI KWELI KAMA KUNA KUPIGA PU**ETO kama baadhi yenu mnavyofikiria.


Duhhhh...nimecheka mpaka stress zimenitoka
 
1 hour ni too much mazee, akitoka si atakuwa ananuka kinyesi, unajua kuna wale watu wavivu wakati wa kazi wao hujificha chooni
 
Dakika kumi na tano tuuu!! Mie nadhani hata huyo anayelalamikiwa hafui dafu kwangu.!! Yaani kwa choo is the only place ambayo huwa nakaa kwa utulivu zaidi na kupanga ratiba yangu ya siku! Huwa tunagombana sana na wife anavyokuja anabamiza mlango wakati nikuwa nawaza na kuwazua nikiwa humo ndani!! Baada ya hapo nakuwa fiti kimwili,kiakili na kiroho!!....ila mkuu hebu tusubirie majibu ya wengine isijekuwa tuna ugonjwa utokanao na kuumwa na mende....si unajua yale ndio makazi yao!!!!???

. Chooni ndo mpango mzima wa kutafakari mambo mbalimbali
 
kama ni mwanaume, inawezakana huwa anamalizia kabisa pun.yeto. najua hutaki kuambiwa hivi lakini inaweza kuwa sababu mojawapo.

Mbona hamjamuuliza kama huyo ndugu ameoa au la una conclude punyeto moja kwa moja?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
thanx to you all guys, natajaribu kujibu point zilizoorodhesha labda zaweza kunipatia ufumbuzi.
1. mi napata wasiwasi huenda ana matatizo ya kisaikolojia ndio maana nilitaka kujua kutoka kwa wenye fani.
2. huyo jamaa youpo hapa dar
3. huwa alfajiri saa 11 sijui kama ni kuoga na mengine anatumia lisaa 1, akitoka kuswahili saa 1.45 anaingia tena kama nusu saa au 1.15. ikifika saa 2.30 anazama tena hadi 3.30 ihi. na choo chenyewe ni shared. else itabidi tu nimuulize ingawa moyo wangu unasita asije akanifikiria vibaya kwani ni kaka yangu namheshimu sana na hasa mkewangu ananizuia nisimuulize

Basi endelea kukubali matokeo kama huwezi kumuuliza kiutu uzima man to man jokes aside.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hahaha unaanza kukremu na wewe sasa. Master bedroom zitakuwa kubwa kama nje
Maana yangu ni kuwa choo na kiwe na mlango wake vivyo hivyo na bafu...yaani viwe ni vyumba viwili tofauti.
 
Kwahiyo unadhani sisi tutakuwa na majibu ya akifanyacho nduguyo huko?
Bujibuji jamaa ameomba msaada wa kimaelezo kama kuna saikolojia ambayo inaweza kuelezea hiyo hali.
Tungekua na Daktari Mmarekani walau mmoja hapa jukwaani angetuambia tatizo hili linasababishwa na nini manake wao kwao wanaongoza kwa kuvumbua disorders kila iitwapo leo. Nahisi hiyo lazima itakuwa ina jina lake labda "Toilet/washroom Overuse Disorder" tehe tehe tehe.
Wapi MziziMkavu aje atoe dahwa!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Ila wehu wako wengi humu ndani, tunahitaji kabiashara ka dispensary. Hizo tafakuri za kufanyia chooni ni kiboko. Ngoja nikatafakuri na mie leo
 
Inaonekana hujui starehe ya kweli na ya maan duniani kuliko zote , kukata gogo ndo raha kubwa kuliko zote na inahitaji utulivu , nafasi, hisia7 muda wa kutosha , weka imagery ya kile kipindi unapokuwa umetaitiwa na gogo kama unakuwa na amani , kila ukiona kichaka.....nakuomba tena chonde chonde sasa usimharibie mwenzio starehe hiyo adimu amabayo kila binadamu lazima aipate bila kujali cheo, utajili, elimu , umbo, utaifa. kwani jamaa kama una leta noma had kwenye kukata gogo sipati picha mtu akila kwako au kuomba maji ya kunywa inavyokuuuma ila tu unashindwa kumwambia tu kama ufanyavyo kwa nduguyo pindi anapoenda kushusha mnyororo asilia.

Umesahau starehe ingine ni kujamba. Au we hujambagi mkuu? Call a spade a spade and not a big spoon.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Inawezekana ni mzee wa tgo, hutumia muda huo kunusa kinyesi hasa akimwona wife wako katoka toilet au pia ni mvuta bangi.
 
Basi mie kila siku nagombana na mume wangu. Akiingia choo cha haja kubwa (mana vimetengana na bafu) utamsahau. Smtimes huenda kumgongea mana hufikiri labda kalala au kapatwa na tatizo. Mhu, kumbe wako wengi?
 
Back
Top Bottom