min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
😁😁Chai ya nini mkuu mimi sio nyuki mpaka ninywe vitu vyenye sukari.Chai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁Chai ya nini mkuu mimi sio nyuki mpaka ninywe vitu vyenye sukari.Chai
Inakera sana .Hilo liko wazi.
Sio tabia ya uungwana
Mbaya zaidi ikipostiwa tu mitandaoni inatrend vibaya sana, sasa utakuta wengine wana heshima zao ,kitendo cha kuwaposti wakiwa wamelewa kinashusha utu wao kwa kiasi kikubwa sana.Ni adabu mbaya sana kupiga picha watu au kurekodi video watu bila idhini yao.Wewe unayechukua matukio kwa kamera,ukibabuliwa makofi au kushtakiwa kwa udhalilishaji utamlaumu nani?
Hata kitendo cha kurekodi tu bila idhini ni mbaya hiyo,Kumrekodi mtu bila idhn yake sio vibaya but vibaya ni kuitumia kwa maslai yako,au kupost bila ridhaa yake, mfano kuna tukio eti usirekodi kisa ypo mtu kalewa recod ukitaka kuitumia bas simple edit uwepo wake usionekane
Una geuzwa Me Me kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣Hii inakera sanaa unashangaa umepostiwa mtandaoni
Muhusika sio mimi, ila huwa naona mara kadhaa huu unyanyasaji mitandaoni .Acha kulewa mtanashati
Unakuta umeenda na mchepuko mara mshapigwa picha jamaniUna geuzwa Me Me kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣
Wanywa vyoda ni washamba sana sehemu za starehe mkuu, ndio wanapata mda wa kupiga mapichaMuhusika sio mimi, ila huwa naona mara kadhaa huu unyanyasaji mitandaoni .
Bila kupingwa.Hoja imeungwa mkono
Unakuja kushtuka umeshafika TikTok na insta 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kama hiyo haitoshi unaletwa JF watu wanakujadili bila watu kujua muhusika nawe pia upo humu na huo uzi umechangia.Unakuta umeenda na mchezo uji mara mshapigwa picha jamani
Labd kwa sababu ni walipa kodi wazuriNa nyinyi walevi mkilewa mbona mnatukana matusi hovyo....
Mwisho mkitembea barabara yote yenu....