Watu wanaoweza kumla Mwanamke wako bure kabisa

We acha tuu broo... Ndoa na uchumba ni vitu viwili tofauti...
Mi natamani hata asaivi Mungu tuu aanzishe upya mahusiano
Kwa vile uko nae tayari omba msaada kea wakuu wa imani kama ni shekhe au wachngaji.
 
Tatizo watu wengi wameoa Malaya lakini akilini mwao wanajua wameoa mke. Sometime ikibidi ni vyema kujua historia ya unayetaka kumuoa
Kabsa ndo maana kuoa mwanamke asiye na bikra haya ndo madhara yake...Vijana oeni mabinti waliojitunza mle mema ya nchi.
 
Sasa Mkuu unaogopa surna….
 
Kuna sisi ndugu wa mume ambao tupo tupo hapo home kwa broo na huku broo kaenda masomoni Urusi mwaka wa pili sasa. msitusahau tupeni heshima yetu kwenye huu uzi. Asanteni.
Hivi unakulaje mke wa kakaako yani brother toka nitoke hata dyudyu inasmama kweli
 
Eti chief admin wa group😀

Anyway, kwa baba mchungaji hapo ongeza Mwalimu wa Kwaya
 
Mwalimu wa jogging
 
Kuna mke wa mtu nimetoka kumla.. juzi

Nilimkwepa sana.. sasa nikaona bora nitingishe nyavu tu heshima iwepo..

Changamkeni Kuoa tu...
 
Kijana aliyemaliza chuo halafu yupo jirani yenu na wewe unashinda zako kwenye mihangaiko.

Kibaya zaidi wanaazimana CD na kijana anakuja kurekebisha king'amuzi kinapo leta shida.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umesahau waganga wa kienyeji, kumbuka pia wanawake ndio wahanga na wateja wakuu wa waganga!!
 
Mwanamke yuko kwenye risk ya kuliwa kimasihara muda wowote katika mazingira yoyote yale ambayo mwanaume yupo.

Trust a Woman at your own risk.
 
Nimeokoka maana Mimi ni mmoja wa hao uliowaorodhesha hapo.
 

Huku ni kuwadhalilisha Wanawake Mkuu!
Nilitegemea ungetaja walau watu/makundi matatu lakini naona orodha ni ndefu Sana.

Labda wanawake WA hadhi ya chini.
Hapo labda Ex wake, Rafiki aje(ingawa huyu ni ngumu ikiwa mume utamzuia mwanamke wako kuwa na marafiki wa kiume),

Waganga WA kienyeji
 
Hongera sana Mkuu, But take this mwanamke(wife) huwa hatoki kwa tamaa ya ngono anatoka kwa hisia. Akiliwa huko ujue kapenda huna chako hapo. Keep watching her uzuie maafa kama unampenda na mnamalengo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…