je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Ijumaa mubaraka.....
Mjini hapa mambo ni mengi muda ni mchache sana.hili jiji lina kila aina ya mambo.
Niende kwenye ajenda.
Katika harakati zangu za kutafuta kabiashara kakukidhi mahitaji ya nyumbani .Nikawa nafuatalia biashara ya kuuza mafuta ya kula kwa kupima kwa wamama wa mtaani.basi bwana nikapita sehemu nyingi wanauza 5000 kwa litle 1 na bei kubwa ni 5200.
Nikaaanza kutafuta wanauzaje jumla kwa dumu la litle 20 nikakuta ni 81,000 na plastic ni 83,000.nikasema sawa ngoja nitafute kijiwe na kijana aweze kufanya hii biashara .ila target yangu ni kuuza dumu mbili kwa siku.itakuwa bado sio mbaya nikimtoa kijana 7000 per day ntabaki na chochote kitu kwa mahesabu yafuatayo
Dumu 2
40x81.000=162,000
Plus + 4000
Total 166,000
Nitauza ifauatavyo 40x5000=200,000
Mwisho wa siku 200,000-166,000=34,000
Nikitoa kijana 7000
Nabaki na 27.000
Haya ndio mahesabu ambayo nilikuwa napiga kichwan mwangu........
Haya twende sasa.
Katika kuingia field sasa nakutana na kituko kuna wadau wanauza mafuta hayo hayo aliyonunua kwa 83,000 kwa plastic .wao wanauza 4,000 kwa litre
Nikachoka kabisa nikajiuliza how do they benefit.?????
20x4,000=80,000
Mafuta kanunua 83.000 iweje auze bei ya elfu 4 alafu bado anaendelea na hii biashara.??? Mimi sikusita nikataka kujua nivipi hapa mbona mahesabu hayajakaa sawa? Nikamfata dogo anaeuza kumuuliza akasema subiri brother ntakuambia.nikasubiri pale mana foleni ni kubwa .akitoka huyu anaingia huyu wakina mama kibao.mwisho wa siku dogo ananiambia mafuta nanunua duka flani nenda kaulize wanauzaje.Nikaenda nikakuta bei ndio hiyo hiyo 83.000 tsh nikachoka kabisa.!
Nikamuuliza muuza duka inakuwaje jamaa wananunua kwa bei hiyo alafu wanauza elfu 4 ? Akasema hizo ndoo zinazobaki ndio faida yao yan hao wanauza tu mafuta ili wabaki na ndoo hayo mafuta hayana faida...na pia inawezekana ile little moja yao haitimiiiiiiiiii......dah nikachoka kabisa niakondoka. Ila sikukata tamaa nikarudi tena kwa dogo labda kuona mafuta wanachanganya na kitu kingine au laaa......
Akakata plastic lingine ni mafuta safi na litle anatumia hizi za maji ya uhai kupima litle moja.ni kweli wala hapunji ila bei ni hiyohiyo.ila najua pale kuna code imefungwa inatakiwa kufunguliwa kuna namna inatumika kupata faida angalau elfu kwa dumu.....kama kuna mtu anajua namna wanavyofanya ili kupata faida anijuze hapa nataka kuingia huku.nimesikia huyu mdau anauza hadi dumu 50 per day.......
Nimeamini mjini unatakiwa kuacha kupanic na kualaumu tu serikali bali unatakiwa kutumia akili nyingi uli uishi....
Mjini hapa mambo ni mengi muda ni mchache sana.hili jiji lina kila aina ya mambo.
Niende kwenye ajenda.
Katika harakati zangu za kutafuta kabiashara kakukidhi mahitaji ya nyumbani .Nikawa nafuatalia biashara ya kuuza mafuta ya kula kwa kupima kwa wamama wa mtaani.basi bwana nikapita sehemu nyingi wanauza 5000 kwa litle 1 na bei kubwa ni 5200.
Nikaaanza kutafuta wanauzaje jumla kwa dumu la litle 20 nikakuta ni 81,000 na plastic ni 83,000.nikasema sawa ngoja nitafute kijiwe na kijana aweze kufanya hii biashara .ila target yangu ni kuuza dumu mbili kwa siku.itakuwa bado sio mbaya nikimtoa kijana 7000 per day ntabaki na chochote kitu kwa mahesabu yafuatayo
Dumu 2
40x81.000=162,000
Plus + 4000
Total 166,000
Nitauza ifauatavyo 40x5000=200,000
Mwisho wa siku 200,000-166,000=34,000
Nikitoa kijana 7000
Nabaki na 27.000
Haya ndio mahesabu ambayo nilikuwa napiga kichwan mwangu........
Haya twende sasa.
Katika kuingia field sasa nakutana na kituko kuna wadau wanauza mafuta hayo hayo aliyonunua kwa 83,000 kwa plastic .wao wanauza 4,000 kwa litre
Nikachoka kabisa nikajiuliza how do they benefit.?????
20x4,000=80,000
Mafuta kanunua 83.000 iweje auze bei ya elfu 4 alafu bado anaendelea na hii biashara.??? Mimi sikusita nikataka kujua nivipi hapa mbona mahesabu hayajakaa sawa? Nikamfata dogo anaeuza kumuuliza akasema subiri brother ntakuambia.nikasubiri pale mana foleni ni kubwa .akitoka huyu anaingia huyu wakina mama kibao.mwisho wa siku dogo ananiambia mafuta nanunua duka flani nenda kaulize wanauzaje.Nikaenda nikakuta bei ndio hiyo hiyo 83.000 tsh nikachoka kabisa.!
Nikamuuliza muuza duka inakuwaje jamaa wananunua kwa bei hiyo alafu wanauza elfu 4 ? Akasema hizo ndoo zinazobaki ndio faida yao yan hao wanauza tu mafuta ili wabaki na ndoo hayo mafuta hayana faida...na pia inawezekana ile little moja yao haitimiiiiiiiiii......dah nikachoka kabisa niakondoka. Ila sikukata tamaa nikarudi tena kwa dogo labda kuona mafuta wanachanganya na kitu kingine au laaa......
Akakata plastic lingine ni mafuta safi na litle anatumia hizi za maji ya uhai kupima litle moja.ni kweli wala hapunji ila bei ni hiyohiyo.ila najua pale kuna code imefungwa inatakiwa kufunguliwa kuna namna inatumika kupata faida angalau elfu kwa dumu.....kama kuna mtu anajua namna wanavyofanya ili kupata faida anijuze hapa nataka kuingia huku.nimesikia huyu mdau anauza hadi dumu 50 per day.......
Nimeamini mjini unatakiwa kuacha kupanic na kualaumu tu serikali bali unatakiwa kutumia akili nyingi uli uishi....