Watu wanazikamua hela bwana, acha kabisa; mashuleni mpaka sasa hakuna kitu tangu mwezi Januari.

Watu wanazikamua hela bwana, acha kabisa; mashuleni mpaka sasa hakuna kitu tangu mwezi Januari.

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
Mabilioni juu yanapigwa tu maana ni ukweli kuwa kwa sasa fedha nyingi tu zinapatikana kutoka nje n.k

Mashuleni hali mbaya, tangu mwaka huu uanze inasemekana shule zimepokea fedha ya mwezi Januari tu basi. Hali mbaya......

Kuna wazabuni walioamua kugoma sasa kuendelea kuzikopesha shule,
Umeme, walinzi, wafanyakazi wengine wa shule wameanza ugomvi na wakuu wa shule,
Shule nyingi zinapokea laki 3 tu au chini ya hapo kwa ajili ya kuendesha shule (my goodness),
Kuna shule nyingi tu zimefanya midterm test kwa kuandika ubaoni....mambo ya kizamani kabisa.
Nijuavyo, hata iweje, shuleni kwa siku lazima kiasi fulani kitumike ili shughuli zote ziende sawa....wakuu kazi wanayo!


Serikali ifanye au iseme jambo!!!
 
Mabilioni juu yanapigwa tu maana ni ukweli kuwa kwa sasa fedha nyingi tu zinapatikana kutoka nje n.k

Mashuleni hali mbaya, tangu mwaka huu uanze inasemekana shule zimepokea fedha ya mwezi Januari tu basi. Hali mbaya......

Kuna wazabuni walioamua kugoma sasa kuendelea kuzikopesha shule,
Umeme, walinzi, wafanyakazi wengine wa shule wameanza ugomvi na wakuu wa shule,
Shule nyingi zinapokea laki 3 tu au chini ya hapo kwa ajili ya kuendesha shule (my goodness),
Kuna shule nyingi tu zimefanya midterm test kwa kuandika ubaoni....mambo ya kizamani kabisa.
Nijuavyo, hata iweje, shuleni kwa siku lazima kiasi fulani kitumike ili shughuli zote ziende sawa....wakuu kazi wanayo!


Serikali ifanye au iseme jambo!!!
Hayo ndo madhara ya elimu bure, na wazazi wasio jielewa wakakubari kukubadhi watoto wao kule eti wapate elimu, hamna kitu cha bure duniani, "cheap things are expensive"
 
maofisi mengi mwaka wa fedha huu tunaendelea nao OC tu zimekuwa changamoto
 
Labda fedha zote zimeelekezwa kwenye ule mchango wa fomu ya 2025?
 
Back
Top Bottom