Watu wangu wa nguvu Sana kwa mwezi February

Fanya kaz mdogo wangu/kaka yangu/babu yangu.maisha si marahis kihivyo,utakuja juta mbelen.amua sasa.

Huo muda wa kusoma na kuwajua hawa wote unautoa wap mwenzetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji860][emoji860][emoji860][emoji860]kama ww upo JF na hauna kaz, nakupa pole..

me ni wakala mda wote nipo online na kazi nafanya kama kawa(maybe mtandao ukizingua) sasa huoni kuwa nina sababu ya kuwajua member wenzangu hapa jamvini?!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona jina langu silioni? ulitumia sampuli gani katika kuteua hayo majina sitini? naomba kujua methodolojia ilitumika katika kuleta mrejesho wka jamii husika? otherwise usinisahau next month
 
mbona jina langu silioni? ulitumia sampuli gani katika kuteua hayo majina sitini? naomba kujua methodolojia ilitumika katika kuleta mrejesho wka jamii husika? otherwise usinisahau next month
Ndo kwanza nakujua leo
 
Write your reply...watu wamewekwa kirafiki tuu. sasa basi kila mtu aweke watu wake 60 anaowakubali!
sijui itakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…