Watu wasiojua kingereza wako na wivu sana


[emoji2956]
 
Kiingereza ni essential kwenye ulimwengu huu wa technology inayokua kwa kasi ya ajabu... kiingereza ni lugha ya dunia,, hata ukienda China n wewe hujui kichina basi kiingereza kitakusaidia kuwasiliana...
Ili biashara yako ifike mbali hadi kimataifa basi kiingereza ni lazima kwa mawasiliano..
Ili uweze kusaini mikataba mikubwa basi kiingereza muhimu..

Hao wanaochukia kiingereza sababu hawakiwezi ni wajinga....haina maana kama kitu hukiwezi basi kila mtu akichukie huo n ujinga kufa nao warithishe wanao na ukoo wenu huko kwenu mafyekeni...ujinga tu..
 
so you like boy friends who are not your boyfriends?..... well I like girl friends who are not my girlfriends too....so we are kinda connected don't you think??...

Tookn’t we...!!????
 
Hizi lugha aisee! Ni kama unataka kutongoza manziii mkaliii! Alafu huna ujasiri, unajikuta unacheka cheka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…