Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Baada ya Juvénal Habyarimana aliyekua Rais wa rwanda kuingia madarakani kupitia mapinduzi mwaka 1973 kwa kumpindua Grégoire Kayibanda kutokana na hofu aliyokua nayo dhidi ya madui zake ilibidi aanzishe kikundi kinachoitwa interahamwe hiki kikundi cha kihutu kilikua na lengo la kufanya kazi chafu ni tofauti na jeshi la rwanda na hii ilitokana na uhasama wa wahutu wa kaskazini na kusini mwa rwanda walikuwa hawapatani
Interahamwe Walikua na kazi zifuatazo;-
Kwa Tanzania Watu wasiojulikana a.k.a Interahamwe walipata nguvu sana kipindi cha utawala wa magufuli walikuwepo huko nyuma ila hawakua na nguvu sana katika legacy mojawapo za hovyo za utawala wa magufuli ni kuacha kikundi cha watu wasiojulikana
Utawala wa samia mwanzon alitaka kuwapotezea ila baadae akagundua bado anawahitaji sana ila wamsaidie yeye kusalia madarakani
Watu wasiojulikana wana-nguvu zaidi ya mahakama na taasis za serekali kwa lugha nyingine wako juu ya sheria madhara ya hiki kikundi yanaweza yasionekane leo ila hawa ndo watakao iondoa ccm madarakani kama ilivyotokea kwa Interahamwe na serekali ya Juvénal Habyarimana kupishana na matokeo yake nchi kuangukia mikononi mwa RPF
Kwa Tanzanaia kuanzia kipindi cha magufuli mpaka sahivi ni ngumu sana kwa Rais yeyote wa ccm kuongoza nchi bila kuwatumia hawa watu wasiojulikana a.k.a Interahamwe sababu kwa miaka 60+ya utawala wa ccm nchi iko kwenye umaskini sasa hakuna cha kuonyesha kwa wananchi kilichobaki ni kutumia nguvu na mabavu kuongoza nchi-
Kazi za watu wasiojulikana a.k.a Interahamwe wa tanzania ambao ni wanajeshi, usalama wa taifa na mapolisi
Kiongozi wa watu wasiojulikana kwa sahivi ni ABDUL mtoto wa rais aliyeko madarakani
Interahamwe Walikua na kazi zifuatazo;-
- Kuteka watusi na wahutu wenye msimamo wa kawaida wengine walirudishwa ila wengine waliuwawa
- Kuwasighulikia wale wanaoikosoa serekali
- Kuiba kura Juvénal Habyarimana alikua anashinda kwa asilimia 95 na kuendelea kwenye kila chaguzi
- Kufanya kazi chafu za serekali ambazo kikawaida hawawezi kuzifanya kupitia taasisi zake
- Kuhakikisha watu wanakuwa wazalendo kwa nchi ya rwanda na kuwashughulikia wale wasaliti
Kwa Tanzania Watu wasiojulikana a.k.a Interahamwe walipata nguvu sana kipindi cha utawala wa magufuli walikuwepo huko nyuma ila hawakua na nguvu sana katika legacy mojawapo za hovyo za utawala wa magufuli ni kuacha kikundi cha watu wasiojulikana
Utawala wa samia mwanzon alitaka kuwapotezea ila baadae akagundua bado anawahitaji sana ila wamsaidie yeye kusalia madarakani
Watu wasiojulikana wana-nguvu zaidi ya mahakama na taasis za serekali kwa lugha nyingine wako juu ya sheria madhara ya hiki kikundi yanaweza yasionekane leo ila hawa ndo watakao iondoa ccm madarakani kama ilivyotokea kwa Interahamwe na serekali ya Juvénal Habyarimana kupishana na matokeo yake nchi kuangukia mikononi mwa RPF
Kwa Tanzanaia kuanzia kipindi cha magufuli mpaka sahivi ni ngumu sana kwa Rais yeyote wa ccm kuongoza nchi bila kuwatumia hawa watu wasiojulikana a.k.a Interahamwe sababu kwa miaka 60+ya utawala wa ccm nchi iko kwenye umaskini sasa hakuna cha kuonyesha kwa wananchi kilichobaki ni kutumia nguvu na mabavu kuongoza nchi-
Kazi za watu wasiojulikana a.k.a Interahamwe wa tanzania ambao ni wanajeshi, usalama wa taifa na mapolisi
- Kuteka, kutesa na hata kuua watu ambao wanaonekana kuwa tushio kwa serekali
- Kuteka, kutesa hata kuua watu ambao wanaikosoa serekali
- Kuiba kura kwenye chaguzi
- Wanafanya kazi kama task force kwa ajili ya kukusanya kodi kwa lazima
- Wanawatishia wafanya biashara na watu wenye ukwasi kuchangia ccm kwa lazima
- Wanafanya biashra za magendo kama nchi mojawapo ya njia ya serekali kupata mapato ni kupitia biashara za magendo mfano kusafirisha watu, kutumia passport za kibalozi kusafirisha madawa ya kulevya
- Waekezaji wakubwa lazima wapitie kwao ndo maana watu wasiojulikana ni matajiri sana
- Kununua wale wanasiasa waupinzani maarufu kama njia ya kuwanyamazisha
Kiongozi wa watu wasiojulikana kwa sahivi ni ABDUL mtoto wa rais aliyeko madarakani