Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Ipo siku tutarudi tena kwenye huu Uzi kutoa ushahidi wa ccm kuondoka madarakaniTrue,
Kama ambavyo chatu akifugwa, akakua akakomaa humeza mfugaji wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo siku tutarudi tena kwenye huu Uzi kutoa ushahidi wa ccm kuondoka madarakaniTrue,
Kama ambavyo chatu akifugwa, akakua akakomaa humeza mfugaji wake
Inahitaji umakini sana kunielewa mkuu sana tena sana basi naomba ufatilie kuhusu hao Akazu ndipo utanielewa nikisema Inter walikua machawa , nikimaanisha walikua wanaongozwa na hao Akazu kwa maslahi yao binafsiInterahamwe walikuja tumika tena na kabila ni kikundi cha waasi sio machawa wale
Hata wasiojulikana wana-mabosi wao wanaowatuma mkamate yule au kampe hela yuleInahitaji umakini sana kunielewa mkuu sana tena sana basi naomba ufatilie kuhusu hao Akazu ndipo utanielewa nikisema Inter walikua machawa , nikimaanisha walikua wanaongozwa na hao Akazu kwa maslahi yao binafsi
Yeye mwenyeweAisee!
Wakati wa awamu ya jiwe kiongozi wa hilo genge alikuwa nani?
Kwa hiyo na yeye ni dhalimu?Umeambiwa hao watekaji walipata nguvu sana wakati wa Magufuli, na Samia alitaka kuwapotezea, ila ameona anawahitaji bado.
Hayupo sasa!Yeye mwenyewe jiwe, na Makonda kwa sehemu fulani.
Kwa hiyo na yeye ni dhalimu?
Vipi haupigi mwingi tena?
Aibu kwa mwanamke wa kwanza kuangukia hiki cheo na kujihusisha na na magenge ya utekaji na uuaji.Baada ya Juvénal Habyarimana aliyekua Rais wa rwanda kuingia madarakani kupitia mapinduzi mwaka 1973 kwa kumpindua Grégoire Kayibanda kutokana na hofu aliyokua nayo dhidi ya madui zake ilibidi aanzishe kikundi kinachoitwa interahamwe hiki kikundi cha kihutu kilikua na lengo la kufanya kazi chafu ni tofauti na jeshi la rwanda na hii ilitokana na uhasama wa wahutu wa kaskazini na kusini mwa rwanda walikuwa hawapatani
Interahamwe Walikua na kazi zifuatazo;-
Mwishoni mwa miaka ya 1980's Interahamwe walipishana na Rais Juvénal Habyarimana juu ya mambo tofauti tofauti ikiwemo mazungumzo ya aman kati serekali ya rwanda na RPF ya kina kagame waliko uganda na inaaminika interahamwe ndo waliolipua ndege ya Juvénal Habyarimana baada ya kumuona kama msaliti japokua hili swala ni debate
- Kuteka watusi na wahutu wenye msimamo wa kawaida wengine walirudishwa ila wengine waliuwawa
- Kuwasighulikia wale wanaoikosoa serekali
- Kuiba kura Juvénal Habyarimana alikua anashinda kwa asilimia 95 na kuendelea kwenye kila chaguzi
- Kufanya kazi chafu za serekali ambazo kikawaida hawawezi kuzifanya kupitia taasisi zake
- Kuhakikisha watu wanakuwa wazalendo kwa nchi ya rwanda na kuwashughulikia wale wasaliti
Kwa Tanzania Watu wasiojulikana a.k.a Interahamwe walipata nguvu sana kipindi cha utawala wa magufuli walikuwepo huko nyuma ila hawakua na nguvu sana katika legacy mojawapo za hovyo za utawala wa magufuli ni kuacha kikundi cha watu wasiojulikana
Utawala wa samia mwanzon alitaka kuwapotezea ila baadae akagundua bado anawahitaji sana ila wamsaidie yeye kusalia madarakani
Watu wasiojulikana wana-nguvu zaidi ya mahakama na taasis za serekali kwa lugha nyingine wako juu ya sheria madhara ya hiki kikundi yanaweza yasionekane leo ila hawa ndo watakao iondoa ccm madarakani kama ilivyotokea kwa Interahamwe na serekali ya Juvénal Habyarimana kupishana na matokeo yake nchi kuangukia mikononi mwa RPF
Kwa Tanzanaia kuanzia kipindi cha magufuli mpaka sahivi ni ngumu sana kwa Rais yeyote wa ccm kuongoza nchi bila kuwatumia hawa watu wasiojulikana a.k.a Interahamwe sababu kwa miaka 60+ya utawala wa ccm nchi iko kwenye umaskini sasa hakuna cha kuonyesha kwa wananchi kilichobaki ni kutumia nguvu na mabavu kuongoza nchi-
Kazi za watu wasiojulikana a.k.a Interahamwe wa tanzania ambao ni wanajeshi, usalama wa taifa na mapolisi
Kwa sasa hivi nchi inaongozwa na matakwa ya watu wasiojulikana na sio katiba na taasisi zilizopo
- Kuteka, kutesa na hata kuua watu ambao wanaonekana kuwa tushio kwa serekali
- Kuteka, kutesa hata kuua watu ambao wanaikosoa serekali
- Kuiba kura kwenye chaguzi
- Wanafanya kazi kama task force kwa ajili ya kukusanya kodi kwa lazima
- Wanawatishia wafanya biashara na watu wenye ukwasi kuchangia ccm kwa lazima
- Wanafanya biashra za magendo kama nchi mojawapo ya njia ya serekali kupata mapato ni kupitia biashara za magendo mfano kusafirisha watu, kutumia passport za kibalozi kusafirisha madawa ya kulevya
- Waekezaji wakubwa lazima wapitie kwao ndo maana watu wasiojulikana ni matajiri sana
- Kununua wale wanasiasa waupinzani maarufu kama njia ya kuwanyamazisha
Kiongozi wa watu wasiojulikana kwa sahivi ni ABDUL mtoto wa rais aliyeko madarakani
Kwamba sifa nilizompa wakati ule ni za kudumu? Ama unadhani kwasababu yeye anafanya haya sasa, ndio dhalimu magu atataka? Tulimsema dhalimu magu kutokana na tabia yake, na huyu naye tutamsema akiendekeza hii tabia ya dhalimu magu. Dhalimu magu alikuwa dhalimu, na hilo halibadiliki kisa mama wa kambo naye anaanza kumuiga. Hutaki jinyonge.Hayupo sasa!
Vipi kiongozi wao ni nani?
😂😂😂Nikikumbuka ilivyokuwa unademka humu eti mama siyo dhalimu, anaupiga mwingi, amefungua nchi.
. Aibu tupu
Aibu kwa mwanamke wa kwanza kuangukia hiki cheo na kujihusisha na na magenge ya utekaji na uuaji.
Nimeona pia jinsi atakavyo ondoka madarakani kwa njia kama ya Marcos wa Ufilipino.
Baada ya ubaya wake ni aibu inamngoja.
Hana damu ya Mwinyi huyu kwa fununu na tetesi bali ni asili ya mwarabu wa Oman karudi kutawala nchi.
Mzee mwinyi ni mtu muungwana ambaye ameacha alama ya kukumbukwa vizazi na vizazi vijavyo.
Magufuli hayupo jehanamu, yupo Mbinguni.Kwani yeye tu ndio alikuwa na haki miliki ya huo uovu, hadi akiwa jehanamu wengine washindwe?
Waliokuwa wanamtazama mama Abdul kitofauti na jiwe walikuwa wapumbavu sababu mama Abdul alikuwa makamu wa jiwe!..mtizamo wa mwanzo kuhusu Mama Abduli ulikuwa sahihi.
..wananchi walimpa nafasi kuonyesha yeye ni mtawala wa aina gani.
..bila shaka wapo waliosifia kupitiliza. Hao wanajulikana ktk jamii ya Watanzania.
..lakini kadiri siku zinavyosonga Mama Abduli anazidi kupoteza imani ya wale waliotamani haki, na mabadiliko ya kweli, ktk utawala wake.
Jinyonge wewe uliekuwa unademka eti mama anaupiga mwingi, amefungua anafungua nchi, anawafuta machozi.Kwamba sifa nilizompa wakati ule ni za kudumu? Ama unadhani kwasababu yeye anafanya haya sasa, ndio dhalimu magu atataka? Tulimsema dhalimu magu kutokana na tabia yake, na huyu naye tutamsema akiendekeza hii tabia ya dhalimu magu. Dhalimu magu alikuwa dhalimu, na hilo halibadiliki kisa mama wa kambo naye anaanza kumuiga. Hutaki jinyonge.
Tafuta kwenye post zangu kama kuna hilo neno la kipuuzi sijui anaupiga mwingi. Ninachojua sio dhalimu kama magu, fullstop.Jinyonge wewe uliekuwa unademka eti mama anaupiga mwingi, amefungua anafungua nchi, anawafuta machozi.
Waliokuwa wanamtazama mama Abdul kitofauti na jiwe walikuwa wapumbavu sababu mama Abdul alikuwa makamu wa jiwe!