DOKEZO Watu wawe makini na Mtandao wa 'Simu za Mtumba' Kariakoo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ni kweli kabisa, hizo simu nyingi huvuki 2 month. Ni biashara inaonrkana halali sababu ya mafrem na wanavyo zibrand ila wezi wakubwa.

Msinunue hizo simu za mtumba mtalia.
 
Dah mm mpaka sasa nazungushwa niliuziwa simu kioo kibovu mwenye duka anadai niongeze ela nipewe simu nyingne
 
Wapumbavu wacha wabamizwe tu wabongo wengi wanapenda kitonga sana ndio mana wanaliwa vichwa sana
 
Bora ununue simu mtumba uishie kupata hasara ya simu kuharibika kuliko kununua simu mtumba kisha uje kukamatwa uambiwe hiyo simu iliibiwa kwa marahemu Arusha siku alipouliwa na majambazi. Utajua kama hujui
Kesi yake ndogo hyo.

Utaambiwa kuna mwanajeshi kauwawa huko hii sim ndyo aliyo kuwa akitumia marehemu.
 
Boxer mtumba, Shati mtumba, jinzi mtumba sasa mpaka simu tena Mtumba khaa...
 
Umenena Kwa hasira sana, atakaye elewa na aelewe
 
Wewe umeongelea mambo ya kawaida ya kibiashara, lakini mleta mada kazungumzia utapeli zaidi.
 
Sim sio kitu cha kununua mtumbani believe me. Kama kuna mtu mwenye mentality hii hapa jf aiondoe. Sasahiv watu wnaoongoza kwenda gereji ni wamiliki s10 au s10+ used. Na mpaka spea zake kariakoo zimekuwa scarce kwelikweli mana demand yake sio poa
Kwa namna wabongo wanapenda cheap, sidhan kama watakuelewa
 
Kuna mwaka kuna vijana kama wanne walikuwaga wanashinda sana hapo China Plaza walipotea kipindi kama hichi cha kufunga mwaka… nakumbuka ilikuwa 2020 au 2021 kama sikosei. Inasemekana walikuwa kwenye huu mtandao wa utapeli wa simu za wizi na biashara zinginezo za haramu wanajihusisha nazo.

Naona wameanza tena… Waache!
 
Kaa kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…