Watu wawili wanasadikiwa kufariki katika Mji Mkuu wa Guinea-Bissau katika jaribio la kimapinduzi

Watu wawili wanasadikiwa kufariki katika Mji Mkuu wa Guinea-Bissau katika jaribio la kimapinduzi

Kindeena

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2017
Posts
11,462
Reaction score
21,124
Kuna tetesi za jeshi kumshikilia Rais na Waziri Mkuu wa Guinea-Bisau katika Mji Mkuu Bissau.

NB: Ni hivi karibuni jeshi liliipindua serikali ya nchi jirani ya Guinea-Conacry na sasa Guinea-Bissau wanajaribu.

===
Watu wawili wanasadikiwa kufariki katika Mji Mkuu wa Guinea-Bissau katika jaribio la kimapinduzi.

Milio ya risasi ilisikika karibu na jengo moja la Serikali ambapo inasemekana Rais Umaro Cissoko Embalo alikuwemo katika mkutano na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Nuno Gomes Nabiam.

Mpaka sasa haijulikani Rais huyo na Waziri Mkuu walipo lakini habari zisizo rasmi zinasema kuwa watu hao bado wamo ndani ya jengo hilo mikononi mwa washambuliaji.
 
GB

Watu wawili wanasadikiwa kufariki katika Mji Mkuu wa Guinea-Bissau katika jaribio la kimapinduzi.

Milio ya risasi ilisikika karibu na jengo moja la Serikali ambapo inasemekana Rais Umaro Cissoko Embalo alikuwemo katika mkutano na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Nuno Gomes Nabiam.

Mpaka sasa haijulikani Rais huyo na Waziri Mkuu walipo lakini habari zisizo rasmi zinasema kuwa watu hao bado wamo ndani ya jengo hilo mikononi mwa washambuliaji.
 
GBView attachment 2104506
Screenshot_20220201-231926.jpg
 
Ni suala la muda tu, hiyo karma itafika hadi kwa kina chief hangaya wanao dhani hii nchi niya kwao na hakuna wa kuwafanya kitu.
Punguza Makasiriko, huyo unayemdhihaki anatupa 'Peace of Mind' vibaya mno! Relax..Just get busy, tafuta cha kufanya kukupunguzia 'stress' usikae Idle!...siasa za 'West Africa' zinatofauti kubwa na huku kwetu..unacho 'wish' hakiwezi tokea siku za hivi karibuni ..maybe in the next 50 yrs.. May be! Narudia!
 
Back
Top Bottom