Watu wawili wanasadikiwa kufariki katika Mji Mkuu wa Guinea-Bissau katika jaribio la kimapinduzi

Watu wawili wanasadikiwa kufariki katika Mji Mkuu wa Guinea-Bissau katika jaribio la kimapinduzi

Kuna siku nilikuwa na jamaa fulani wa Morocco na guinea bisau lakini wote kwa sasa ni raia wa kifaransa..

Kwenye maongezi walisema,,tunatamani tungekuwa Colon la England..

Inchi zote colon za England wapo so smart.
Kuliko inchi colon za kifaransa.
Na why colon za kifaransa inchi zao zote 90% zina vurugu?
Shida tupu.

Inchi colon za England wana amani?

Mwishowe wakanambiya serikali ya France ni watu wa hovyo Sana,
Wao ndy choko choko wa Mambo yote yanayoendelea kwenye makoloni Yao..
 
Tzn hii Wanaoweza shabikia mapinduzi labda ni machadema waliokata tamaa ila wengine hawawezi kwa sababu gharama yake ni kubwa..

Hata wajeda wenyewe hawajazoea vita uwaambie waanze Shari Ili iwaje.

Pili mfumo wa ulinza wa serikali hautegemei jeshi tuu hadi mitaani kwa mabalozi,ukiweka kikao tuu tuna wewe..

Kama mapinduzi yalishindikana enzi za Julius na alipofariki Mwendazake saizi ndio ngumu kabisaa..

Tzn ije kuingia kwenye mapinduzi labda JK aje kuwa marehemu maana sijaona mtu mwingine mwenye nguvu ya kuweka cohesion.
 
Mataifa makubwa kiuchumi duniani yalipitia huku, natamani Afrika yote ichafukwe na mapinduzi ya aina hii ili kuitoa mifumo taka taka aina ya CCM na tuanze upya.
 
Namuomba MUNGU atuepushie mazauzau yoyote kwetu
 
Mapinduzi katika huo ukanda ni kawaida tu kama yalivyo mabadiliko ya hali ya hewa ama tabia nchi. Ni suala la muda tu!
 
Tzn hii Wanaoweza shabikia mapinduzi labda ni machadema waliokata tamaa ila wengine hawawezi kwa sababu gharama yake ni kubwa..

Hata wajeda wenyewe hawajazoea vita uwaambie waanze Shari Ili iwaje.

Pili mfumo wa ulinza wa serikali hautegemei jeshi tuu hadi mitaani kwa mabalozi,ukiweka kikao tuu tuna wewe..

Kama mapinduzi yalishindikana enzi za Julius na alipofariki Mwendazake saizi ndio ngumu kabisaa..

Tzn ije kuingia kwenye mapinduzi labda JK aje kuwa marehemu maana sijaona mtu mwingine mwenye nguvu ya kuweka cohesion.
Mapinduzi hayahitaji watu wengi, wanajeshi wakiamua ndani ya lisaa, tayari Serikali imebadilika.
 
Kuna siku nilikuwa na jamaa fulani wa Morocco na guinea bisau lakini wote kwa sasa ni raia wa kifaransa..

Kwenye maongezi walisema,,tunatamani tungekuwa Colon la England..

Inchi zote colon za England wapo so smart.
Kuliko inchi colon za kifaransa.
Na why colon za kifaransa inchi zao zote 90% zina vurugu?
Shida tupu.

Inchi colon za England wana amani?

Mwishowe wakanambiya serikali ya France ni watu wa hovyo Sana,
Wao ndy choko choko wa Mambo yote yanayoendelea kwenye makoloni Yao..
umejitahidi kutunga

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom