Una uhakika gani kama hizi dini za kuletewa ndiyo sahihi kuliko watu kuendelea kujinasibisha kwa ancestors wao?WAKUU habari zenu.
Katika uchunguzi wangu mdogo nilioufanya nimegundua kwamba waafrika wengi bado wanaendelea na nila zao za zamani japo chinichini ili watu fulani wasijue.
Kwa mfano watu wanaenda sana kwa waganga wa kienyeji wakipatwa na tatizo wakimtegemea kupata suluhu ya matatizo yao.
Kuna wachungaji kadhaa huwa wanakamatwa sehemu mbali mbali wakifanya ulozi.
Ukiachana na hilo, jumapili unakuta watu wamejaa makanisani mnoo, utafikiri kama sio wao....
Nilichokigundua ni watu wengi WAOVU wanajifichia kwenye dini. Karibuni kwa michango yenuuu wakuu
Watu weusi wanataka mambo meupeUna uhakika gani kama hizi dini za kuletewa ndiyo sahihi kuliko watu kuendelea kujinasibisha kwa ancestors wao?
Bado tunateswa kwa utumwa wa kifrika kwa kudhani kila anachosema mkoloni ndiyokitu sahihi na boraWatu weusi wanataka mambo meupe
Nahili suala halitoisha mpaka tuwe manamba kwa mara ya piliBado tunateswa kwa utumwa wa kifrika kwa kudhani kila anachosema mkoloni ndiyokitu sahihi na bora
Ni uhalifu kwa dini zilizoletwa kwa ndege na meliKuna ubaya gani kua na mila za kiasili??