Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
WAKUU habari zenu.
Katika uchunguzi wangu mdogo nilioufanya nimegundua kwamba waafrika wengi bado wanaendelea na nila zao za zamani japo chinichini ili watu fulani wasijue.
Kwa mfano watu wanaenda sana kwa waganga wa kienyeji wakipatwa na tatizo wakimtegemea kupata suluhu ya matatizo yao.
Kuna wachungaji kadhaa huwa wanakamatwa sehemu mbali mbali wakifanya ulozi.
Ukiachana na hilo, jumapili unakuta watu wamejaa makanisani mnoo, utafikiri kama sio wao....
Nilichokigundua ni watu wengi WAOVU wanajifichia kwenye dini. Karibuni kwa michango yenuuu wakuu
Katika uchunguzi wangu mdogo nilioufanya nimegundua kwamba waafrika wengi bado wanaendelea na nila zao za zamani japo chinichini ili watu fulani wasijue.
Kwa mfano watu wanaenda sana kwa waganga wa kienyeji wakipatwa na tatizo wakimtegemea kupata suluhu ya matatizo yao.
Kuna wachungaji kadhaa huwa wanakamatwa sehemu mbali mbali wakifanya ulozi.
Ukiachana na hilo, jumapili unakuta watu wamejaa makanisani mnoo, utafikiri kama sio wao....
Nilichokigundua ni watu wengi WAOVU wanajifichia kwenye dini. Karibuni kwa michango yenuuu wakuu