Watu wengi hawajui kuomba wasamehewe

Watu wengi hawajui kuomba wasamehewe

Mimi Fulani

Senior Member
Joined
Sep 26, 2013
Posts
180
Reaction score
121
Kuna kitu nimekigundua watu wengi hawajui kuomba wasamehewe, kwanza kabisa kuna maneno mawili nayo ni samahani, nisamehe. Sasa ngoja niyadadavue kwa mamikini yanavyo takiwa yatumike

SAMAHANI
hili hutumika pale watu wanapokosana wote, kwa mfano "samahani sana tena unikome" hapo watu wanajibizana maneno, kwa hiyo hili neno halifai kuomba msamaha.

NISAMEHE
hili ndilo neno linalopaswa kutumika wakati wa kuomba msamaha

Natumaini nime eleweka. Sawa!
 
Kuna kitu nimekigundua watu wengi hawajui kuomba wasamehewe, kwanza kabisa kuna maneno mawili nayo ni samahani, nisamehe. Sasa ngoja niyadadavue kwa mamikini yanavyo takiwa yatumike

SAMAHANI
hili hutumika pale watu wanapokosana wote, kwa mfano "samahani sana tena unikome" hapo watu wanajibizana maneno, kwa hiyo hili neno halifai kuomba msamaha.

NISAMEHE
hili ndilo neno linalopaswa kutumika wakati wa kuomba msamaha

Natumaini nime eleweka. Sawa!


Nawe mmmmm! Nani kakuambia watu hawajui kuomba?
 
SAMAHANI
hili hutumika pale watu wanapokosana wote, kwa mfano "samahani sana tena unikome" hapo watu wanajibizana maneno, kwa hiyo hili neno halifai kuomba msamaha.

NISAMEHE
hili ndilo neno linalopaswa kutumika wakati wa kuomba msamaha

Natumaini nime eleweka. Sawa!

Sawa Ndugu SAMAHANI NISAMEHE!
 
Back
Top Bottom