Watu wengi hawajui kwamba Prof. Palamagamba Kabudi aliwahi kuwa mwanahabari kipindi kile cha vita vya Kagera

Watu wengi hawajui kwamba Prof. Palamagamba Kabudi aliwahi kuwa mwanahabari kipindi kile cha vita vya Kagera

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Prof Kabudi pamoja na Harrison Mwakyembe waliwahi kuwa waandishi wa habari wa magazeti ya uhuru na mzalendo(if I am not mistaken). Hii ilikuwa kabla, wakati na baada ya vita vya kagera.

Kwa maneno mengine, walikuwa wanajeshi walioongoza mapambano dhidi ya nduli Idd Amin kwa silaha ya kalamu, kuufahamisha umma kuhusu vita, na kupambana na Amin wakiwa newsroom.

Wino wao ulikuwa risasi iliyopenya sawia katika mwili na falsafa za kidikteta za nduli Idd Amin na kuacha maumivu makali.

Wali-shape hoja ya watanzania kwa nini wanaingia vitani. Walikuwa mdomo wa Mwalimu Julius Nyerere katika mawasiliano yake na umma. Walijua vision na mission ya taifa.

Kwa msingi huo, uzalendo wao, na mapenzi yao kwa taifa yalianza na kupikwa na sekta ya habari.

Baada ya hapo alijiunga na chuo bora kabisa nchi ni, chenye weledi usiopimika, UDSM.

Enzi hizo ili uwe mwandishi wa habari, lazima uwe kichwa kweli kweli, tofauti na sasa ambapo hata baba Levo ametoka kuvuta makokoro ya migebuka na kubeba magunia ya mikaa Mwandiga, analisha jamii mapupu. Au Zembwela kutoka kuvaa matambara ya kuchekeshea watu mpaka kukaa radio

Ni uteuzi mzuri ambao utaenda kuimarisha sekta ya habari.

Jerry Silaa amekosa fursa, kwa kuwa habari ni nguvu, yeye akiitwa na wanahabari anagoma. Sasa amebaki kuwa nyuki wa mashineni anatuimbia tu masikioni, na sisi wala hatustuki.
 
Prof Kabudi pamoja na Harrison Mwakyembe waliwahi kuwa waandishi wa habari wa magazeti ya uhuru na mzalendo(if I am not mistaken). Hii ilikuwa kabla,wakati na baada ya vita vya kagera.

Kwa maneno mengine, walikuwa wanajeshi walioongoza mapambano dhidi ya nduli Idd Amin kwa silaha ya kalamu, kuufahamisha umma kuhusu vita, na kupambana na Amin wakiwa newsroom. Wali-shape hoja ya watanzania kwa nini wanaingia vitani. Walikuwa mdomo wa Mwalimu Julius Nyerere katika mawasiliano yake na umma. Walijua vision na mission ya taifa.

Kwa msingi huo, uzalendo wao, na mapenzi yao kwa taifa yalianza na kupikwa na sekta ya habari.

Baada ya hapo alijiunga na chuo bora kabisa nchi ni, chenye weledi usiopimika, UDSM.

Enzi hizo ili uwe maandishi wa habari, lazima uwe kichwa kweli kweli, tofauti na sasa ambapo hata baba Levo ametoka kuvuta makokoro ya migebuka na kubeba magunia ya mikaa Mwandiga, analisha jamii mapupu. Au Zembwela kutoka kuvaa matambara ya kuchekeshea watu mpaka kukaa radio

Ni uteuzi mzuri ambao utaenda kuimarisha sekta ya habari.

Jerry Silaa amekosa fursa, kwa kuwa habari ni nguvu, yeye akiitwa na wanahabari anagoma. Sasa amebaki kuwa nyuki wa mashineni anatuimbia tu masikioni, na sisi wala hatustuki
Kwa nini usingemuelezea Kabudi unayemjua bila kumtukana baba Levo na migebuka?Uwe unaheshimu kila mtu na kumpa utu wake.Acha upumbavu siku ingine ntakuchapa fimbo.
 
Prof Kabudi pamoja na Harrison Mwakyembe waliwahi kuwa waandishi wa habari wa magazeti ya uhuru na mzalendo(if I am not mistaken). Hii ilikuwa kabla,wakati na baada ya vita vya kagera.

Kwa maneno mengine, walikuwa wanajeshi walioongoza mapambano dhidi ya nduli Idd Amin kwa silaha ya kalamu, kuufahamisha umma kuhusu vita, na kupambana na Amin wakiwa newsroom.

Wino wao ulikuwa risasi iliyopenya sawia katika mwili na falsafa za kidikteta za nduli Idd Amin na kuacha maumivu makali.

Wali-shape hoja ya watanzania kwa nini wanaingia vitani. Walikuwa mdomo wa Mwalimu Julius Nyerere katika mawasiliano yake na umma. Walijua vision na mission ya taifa.

Kwa msingi huo, uzalendo wao, na mapenzi yao kwa taifa yalianza na kupikwa na sekta ya habari.

Baada ya hapo alijiunga na chuo bora kabisa nchi ni, chenye weledi usiopimika, UDSM.

Enzi hizo ili uwe mwandishi wa habari, lazima uwe kichwa kweli kweli, tofauti na sasa ambapo hata baba Levo ametoka kuvuta makokoro ya migebuka na kubeba magunia ya mikaa Mwandiga, analisha jamii mapupu. Au Zembwela kutoka kuvaa matambara ya kuchekeshea watu mpaka kukaa radio

Ni uteuzi mzuri ambao utaenda kuimarisha sekta ya habari.

Jerry Silaa amekosa fursa, kwa kuwa habari ni nguvu, yeye akiitwa na wanahabari anagoma. Sasa amebaki kuwa nyuki wa mashineni anatuimbia tu masikioni, na sisi wala hatustuki
Hovyo kabisa hakuna la maana
 
Prof Kabudi pamoja na Harrison Mwakyembe waliwahi kuwa waandishi wa habari wa magazeti ya uhuru na mzalendo(if I am not mistaken). Hii ilikuwa kabla,wakati na baada ya vita vya kagera.

Kwa maneno mengine, walikuwa wanajeshi walioongoza mapambano dhidi ya nduli Idd Amin kwa silaha ya kalamu, kuufahamisha umma kuhusu vita, na kupambana na Amin wakiwa newsroom.

Wino wao ulikuwa risasi iliyopenya sawia katika mwili na falsafa za kidikteta za nduli Idd Amin na kuacha maumivu makali.

Wali-shape hoja ya watanzania kwa nini wanaingia vitani. Walikuwa mdomo wa Mwalimu Julius Nyerere katika mawasiliano yake na umma. Walijua vision na mission ya taifa.

Kwa msingi huo, uzalendo wao, na mapenzi yao kwa taifa yalianza na kupikwa na sekta ya habari.

Baada ya hapo alijiunga na chuo bora kabisa nchi ni, chenye weledi usiopimika, UDSM.

Enzi hizo ili uwe mwandishi wa habari, lazima uwe kichwa kweli kweli, tofauti na sasa ambapo hata baba Levo ametoka kuvuta makokoro ya migebuka na kubeba magunia ya mikaa Mwandiga, analisha jamii mapupu. Au Zembwela kutoka kuvaa matambara ya kuchekeshea watu mpaka kukaa radio

Ni uteuzi mzuri ambao utaenda kuimarisha sekta ya habari.

Jerry Silaa amekosa fursa, kwa kuwa habari ni nguvu, yeye akiitwa na wanahabari anagoma. Sasa amebaki kuwa nyuki wa mashineni anatuimbia tu masikioni, na sisi wala hatustuki
Eti UDSM chuo bora huoni aibu! Ubora umesha isha kitambo sana, kwa sasa chuo pekee kilicho baki tanzani ni SUA tu, udsm na mzumbe ni kiwanda cha kuzalisha vilaza na kuwaleta mitaani huku kula rushwa na kufanya uchawa
 
Eti UDSM chuo bora huoni aibu! Ubora umesha isha kitambo sana, kwa sasa chuo pekee kilicho baki tanzani ni SUA tu, udsm na mzumbe ni kiwanda cha kuzalisha vilaza na kuwaleta mitaani huku kula rushwa na kufanya uchawa
SUA hao wanakimbizana na mbuzi na Sungura?
 
Yes hicho ndicho chuo haswa kinacho toa maarifa sio UDSM wanazalisha vilaza na machawa tu, mtu kamaliza UDSM lakini kichwani mweupeeee
SUA kinatoa maarifa yake, ambayo kwa ambaye hayajui, atakuwa mweupe, the same kwa mtu wa SUA akienda pale Faculty of Engineering
 
Back
Top Bottom