Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam! UDSM ya Palamagamba ilikuwa UDSM kweli kweli!Eti UDSM chuo bora huoni aibu! Ubora umesha isha kitambo sana, kwa sasa chuo pekee kilicho baki tanzani ni SUA tu, udsm na mzumbe ni kiwanda cha kuzalisha vilaza na kuwaleta mitaani huku kula rushwa na kufanya uchawa
Nimefanya kazi na engineers wa UDSM kwenye sites kadhaa, aisee bora hata wanao toka pale mbezi St .Joseph wapo competent compared to the so colled UDSM warriors, wengi ni vilaza kabisa blah blah nyingi na vingereza vya kwenye vitabu ila hamna kitu.SUA kinatoa maarifa yake, ambayo kwa ambaye hayajui, atakuwa mweupe, the same kwa mtu wa SUA akienda pale Faculty of Engineering
Ni tapeli sn huyo mzeeNafikiri kwa hulka yake anaweza kuelezea hata uwongo ukauelewa! 😄
Nafahamu UDSM ni chuo kongwe kabisa kihistoria na kimetoa ma legend wakuaminika kabisa na kilikuwa chuo chenye heshima sana hadi nje ya mipaka lakini kimesha haribiwa kabisa baada ya kukichanga na siasa ,kwa sasa SUA ndiyo kimebaki chuo changu bora kabisa kwa vyuo vya serikaliNaam! UDSM ya Palamagamba ilikuwa UDSM kweli kweli!
Siyo hii unayoisema leo.
Hiyo SUA uisemayo imekuja jana tu wakati kina Palamagamba walishahitimu UDSM.
USIIDHARAU UDSM!
Tanzania kwa sasa tumeshuka kwa kila ranking:SUA hao wanakimbizana na mbuzi na Sungura?
| Rank | Country | Score |
|---|---|---|
| 1 | Mauritius | 8.14 |
| 2 | Botswana | 7.81 |
| 3 | Cape Verde | 7.67 |
| 4 | Namibia | 7.20 |
| 5 | Ghana | 6.95 |
| 6 | Senegal | 6.88 |
| 7 | South Africa | 6.83 |
| 8 | Tunisia | 6.67 |
| 9 | Kenya | 6.55 |
| 10 | Madagascar | 5.70 |
CCM Hata hawajali hilo kwa sababu kuna kundi dogo lenye nguvu ndani ya chama na serikali linalo pambana kulinda maslahi yake na liko tayari kufanya chochote bila kujali record ya nchi itakuwajeTanzania kwa sasa tumeshuka kwa kila ranking:
Hatumo kwenye nchi zenye top quality universities.
2024 Top 200 Universities in Africa
Hatumo kwenye nchi zenye maendeleo Africa.
Some of the most developed countries in Africa include:
Other countries in Africa that are making progress in infrastructure development include: Mauritius, Seychelles, Tunisia, Libya, and Botswana.
- Nigeria: The most powerful economy in Africa, with a GDP of $477 billion in 2022.
- South Africa: An industrial powerhouse.
- Egypt: A strategic bridge.
- Algeria: A resource-rich reformer.
- Ethiopia: A rising star.
- Morocco: A country of stability and innovation.
- Kenya: An economic hub in East Africa.
- Angola: A country diversifying for the future.
Hatumo kwenye top countries zenye demokrasia.
Top 10 African nations leading in democracy index rankings
The ranking is based on five crucial categories: electoral process and pluralism, political culture, political participation, functioning of government, and civil liberties. Each category receives a score ranging from 0 to 10, contributing to the overall democracy score.
Here are the top 10 African countries leading in the Democracy Index:
Rank Country Score 1 Mauritius 8.14 2 Botswana 7.81 3 Cape Verde 7.67 4 Namibia 7.20 5 Ghana 6.95 6 Senegal 6.88 7 South Africa 6.83 8 Tunisia 6.67 9 Kenya 6.55 10 Madagascar 5.70
Kila eneo la muhimu, tunaning'inia.
Kama ndio huyu Mzee alifata Juice huko Madagascar akidai ndio dawa ya Corona na alikunywa mbele ya Waandishi wa habari hakuna mtu hapo...
Nashukuru kwa uungwana wako mkuu.Sijamtukana