Watu wengi hawana uelewa kuhusu UKIMWI

Watu wengi hawana uelewa kuhusu UKIMWI

Quimica

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2018
Posts
1,036
Reaction score
1,286
Habari za usiku wanajamii Forums!

Actually Mimi ni mwanafunzi kwenye Field hizi za science kuna kitu Kinaniumiza Moyo Kuwa watu wengi Hawajui kuhusu Ukimwi.

Wengi wanazani Mtu Anapata ukimwi Pale ambapo Akimchubua Muathirika Wakati Anafanya naye Mapenzi, kihivi wengi wanaamini mtu akifanya mapenzi na Muathirika wa ukimwi Taratibu Bila Kuingiza kwa nguvu (bila msuguano mkali)Basi hawez kupata ukimwi .SIO UKWELI

Jamani Virusi vya ukimwi vinakaa kwenye ute ute wa mwanamke(Vaginal fluids) kwa maana hyo Mwanaume akifanya mapenzi na mwanamke ambaye Ameathirika huo ute ute unapita Kwnye Mfereji wa mwanaume (male urethra) unaingia Then itapelekea na yeye kupata Ukimwi hata kama hakuna mchubuko Wowote.Hii kitu Watu wanachukulia poa sana.

Sio kwamba hukifanya polepole bila kumchubua ndo Hutapata ukimwi ni kwamba uliefanya naye hakuwa na Ukimwi.

Kama anaukimwi na ni ukweli hujapata baada ya kupima its Happens japo mara chache sana vipokezi (receptors )za ukimwi ziitwazo CCR5 zimepata mabadiliko (mutation) hivyo zinashindwa kusababisha ugonjwa ambapo hata ufanye mapenzi Na watu kumi wenye maradhi kwa pamoja Huwezi Kupata ukimwi, na watu ambao mabadiliko hayo uwapata ni asilimia kidogo ya watu kwa dunia nzima.

KUWA MAKINI UKIMWI NI MBAYA !!PITA WODI ZA WAGONJWA WA UKIMWI UTAELEWA. CHEZA SALAMA. USE PROTECTIONS

Maestro de Quimica !!OP
View attachment 2162314
 
Kama ukimwi ungekuwa unaambukizwa kwa kujamiiana nadhani Leo kusingekuwa na binadamu juu ya aridhi.

Fikiria je umewahi kusikia habari za ukimwi Uingereza,Marekani,ujerumani nk nk.

Hii ni biashara ya wazungu na walichagua kusini mwa jangwa la sahara.(Afrika).
 
Kama ukimwi ungekuwa unaambukizwa kwa kujamiiana nadhani Leo kusingekuwa na binadamu juu ya aridhi.

Fikiria je umewahi kusikia habari za ukimwi Uingereza,Marekani,ujerumani nk nk.

Hii ni biashara ya wazungu na walichagua kusini mwa jangwa la sahara.
Kama ilivyokuwa kwa COVID19. Yani mrusi kavamia Ukraine, na UVIKO ukaisha ghafla...
 
I see as a business under making money, condom, conferences etc, vyote vinatumia pesa ili pesa iweze kuingia.

Kuchanja covid ni lazima endapo unataka kuingia kwao, ukimwi unapimwa endapo unataka kuingia kwao na ukikutwa nao ni biashara nyingine na wao.

Ukimwi upo ila ni kwa nchi za kiafrika tu ambako ndilo kusudi hasa la ugonjwa huo.
 
Ila kama muathirika anakunywa dawa zake na anakula vizuri, kuna uwezekano asimwambukize anae lala nae. Ngono nzembe isifanyike hata kama una mpenzi mmoja.

Nafikiri sio tu hawana uelewa bali hata hela za kununulia vifanyio hawana na sometimes vifanyio havipatikani madukani
 
Back
Top Bottom