Watu wengi ni kama tuliwachukulia poa Somalia vile

Watu wengi ni kama tuliwachukulia poa Somalia vile

Daniel Mwinula

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2012
Posts
302
Reaction score
328
Nipo hapa naangalia mechi ya CHAN kati ya Taifa Stars na Somalia, nadhani watu wengi tuliwa-underrate Somalia.

Jamaa wanaupiga mwingi sana tu. Ni kama tuliona hawa jamaa tutapiga pasi mbili goli!

Ngoja tuendelee.
 
Hawa wachezajibwa Yanga huku uwanjani ndio wanazingua. Hamna cha maana wanachofanya zaidi ya kubutua tu mpira.
 
Si ndio wale walicheza na yanga wakamaliza 1-1
Ndiyo hao hao.

Tanzania wanacheza kifather father sana. Washambuliaji wapo wapo tu. Hawana kabisa uchu wa kufunga.

Wakiendelea hivi, basi tukifuzu hatua inayokuja, Uganda watatutoa mapema sana.
 
Nipo hapa naangalia mechi ya CHAN kati ya Taifa Stars na Somalia, nadhani watu wengi tuliwa-underrate Somalia.

Jamaa wanaupiga mwingi sana tu. Ni kama tuliona hawa jamaa tutapiga pasi mbili goli!

Ngoja tuendelee.
Somalia hawana ubora wowote, ni kina Kibu tu hawakua makini.
 
Back
Top Bottom