uniq JF-Expert Member Joined Nov 22, 2011 Posts 5,089 Reaction score 31,084 May 1, 2018 #21 Sky Eclat said: Mama anakanda chapati hapa pembeni kuna mfereji wa maji ya bafuni unapita Click to expand... Duuu. Halafu angalia kucha za huyo anaekanda chapati, huku anakanda unga huku anawwka mkaa kwenye jiko.
Sky Eclat said: Mama anakanda chapati hapa pembeni kuna mfereji wa maji ya bafuni unapita Click to expand... Duuu. Halafu angalia kucha za huyo anaekanda chapati, huku anakanda unga huku anawwka mkaa kwenye jiko.
SMU JF-Expert Member Joined Feb 14, 2008 Posts 9,613 Reaction score 7,889 May 1, 2018 #22 Hata huko hotelini/restaurant mara nyingi mambo hayana tofauti sana....hasa hilo la usafi. Chakula kikibaki hakitupwi......wali uliolala, unageuzwa pilau nk nk. Labda zile hoteli kubwa.
Hata huko hotelini/restaurant mara nyingi mambo hayana tofauti sana....hasa hilo la usafi. Chakula kikibaki hakitupwi......wali uliolala, unageuzwa pilau nk nk. Labda zile hoteli kubwa.
A Akilinjema JF-Expert Member Joined Aug 9, 2016 Posts 11,430 Reaction score 11,813 May 1, 2018 #23 Mimi ninachonunuaga ni mihogo ya kukaanga nikiikuta inatolewa jikoni ikiwa ya moto hapo naweza kununua na kula!
Mimi ninachonunuaga ni mihogo ya kukaanga nikiikuta inatolewa jikoni ikiwa ya moto hapo naweza kununua na kula!
Ndumbayeye JF-Expert Member Joined Jan 31, 2009 Posts 7,413 Reaction score 4,020 May 1, 2018 #24 kila mtu anapenda kula hotelini ,ni shida tu!
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 May 1, 2018 #25 Tanga nilikula chapati inskunjua kama kurasa za kitabu ma chai ya mdalasini kwa mama ntilie