Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,301
- 8,706
Majira Haya ya saa tatu kasoro usiku huu nikiwa nyuma ya keyboard ya computer yangu nikiwa natafakari mambo kadha wa kadha hili wazo limenijia kichwani. Nikachukulia kama jambo dogo ila naona akili yangu haitaki kuipa nafasi ya kulipotezea.
Kwa mfano hapa JamiiForums wapo watu wengi wapo smart sana nyuma ya keyboard (Wanaandika vitu sensitive na smart), pia wapo ambao ni kinyume cha hapo yaani wao wana uwezo wa kuponda na lugha za matusi.
Lakini pia nikawa najiuliza hawa watu pia wako smart katika maisha ya kawaida? sometime natamani kuonana nao japo nipate kuzungumza nao nigain kitu (Kati ya watu watatu naamini kuna mwalimu atayenifunza jambo ambalo silijui).
Lakini pia hawa wa upande wa pili natamani hata kukutana nao nijue tofauti na nyuma ya keyboard huwa wapo hivi? najua pia ningepata cha kujifunza kutoka kwao.
Hongereni Nyote ambao Mnaonesha usmart wenu Pamoja na kwamba Hatujuani!
Kwa mfano hapa JamiiForums wapo watu wengi wapo smart sana nyuma ya keyboard (Wanaandika vitu sensitive na smart), pia wapo ambao ni kinyume cha hapo yaani wao wana uwezo wa kuponda na lugha za matusi.
Lakini pia nikawa najiuliza hawa watu pia wako smart katika maisha ya kawaida? sometime natamani kuonana nao japo nipate kuzungumza nao nigain kitu (Kati ya watu watatu naamini kuna mwalimu atayenifunza jambo ambalo silijui).
Lakini pia hawa wa upande wa pili natamani hata kukutana nao nijue tofauti na nyuma ya keyboard huwa wapo hivi? najua pia ningepata cha kujifunza kutoka kwao.
Hongereni Nyote ambao Mnaonesha usmart wenu Pamoja na kwamba Hatujuani!