Watu wengi wako Smart Nyuma ya Keyboard na wengine Kinyume Chake!

Mlitoka kwenye tujuane mitaa tunayoishi na mji

leo tena tufahamiane kwa usmart asee mbona mbinu zenu ni za kale hivyo !!!!

hamtupati ngastuka
 
Usiogope we sema tu unahamu ya kukutana na nani humu? Wataje tu kwa majina watu unaotaka kuwaona, mnataka kudausoni watu humu
 
Mlitoka kwenye tujuane mitaa tunayoishi na mji

leo tena tufahamiane kwa usmart asee mbona mbinu zenu ni za kale hivyo !!!!

hamtupati ngastuka
Mwanangu Upload Ngoma ya Jambo squad Ngastukaa
 
Usiogope we sema tu unahamu ya kukutana na nani humu? Wataje tu kwa majina watu unaotaka kuwaona, mnataka kudausoni watu humu
hahahahaaa
 
Hivi keyboard inakuwa mbele yako au nyuma yako?
 
Mada yako ni nzuri tena iko advanced.
Kama unataka kujifunza, nenda pm mtayamaliza na utajifunza mengi mno ila kwa kusema muonane ni ngumu sana.

Vijana wengi wamejazana magerezani kwa makosa yasiyojulikana na wasiojulikana wako kazini kila siku.

Kama unataka kujifunza, ridhika na post zinazotolewa hapa jamvini, kama hujaelewa uliza tu utajibiwa tu japo unaweza pata jibu sahihi au lisilosahihi.
 
Asante boss kwa ku advance lengo la Mada
 
Haya mambo ya kupima Usmarti kupitia comments zetu humu sio kabisaaa,nakupa mfano mrahisi kabisaa

Kuna mtu humu Jf alikuaga anaheshimika balaa anatoa ushauri wa kimaisha balaa full ustaarabu mara paaap kumbe alikua anawafuata watu huko inbox anawaomba "ASSIST" na akipewa ndo mazima hio inshort alikua Tapeli tu.

Mtakua mmeshamfahamu "MZEE WA ASSISTS".
 
hahahaa sasa mbona huo ni usmart toshaa dingii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…