GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nilisoma Shule (Ya Msingi) ambayo Mama alisoma na waalimu wa Pale waliokuwa wanamjua mama wakadai Umerithi Akili za Mama yako, wakaenda mbali kwamba Mom was a Genius hakuwahi shika Namba tatu alifeli sana akashika namba mbili na it was once!
Aah kwa kuwa nilikuwa mtoto wala sikujali sana kuhusu ilo, ila nnachokumbuka ni kwamba i learned everything fast.
Sikumbuki lini nimejua kusoma ila nakumbuka hata before darasa la kwanza nilikuwa najua mathematics.
Hio hali ikaendelea Mpaka O level, A level na Maisha yangu ya kawaida mtaani popote pale ntapoishi! they consider me as a genius!
mpaka kwenye mazungumzo nikizungumza na mtu finaly nasikia kwa washakji au marafiki zake kwamba the guy is genius lakini mimi sitambui hilo!
sasa wanainteleijensia nisaidieni how can i feel it if i am genius?
Hili ndilo tatizo kubwa sana la Wasomi wa Kiafrika wanadhani kwamba Kipimo pekee cha Mtu kuwa ' Genius ' ni Kufaulu Kwake tu Shuleni hadi Chuo Kikuu wakati kumbe ' Ujiniasi ' ni zaidi ya hapo na kuna ' factors ' kadhaa ambazo zote kwa ujumla ukizijumuisha ndipo sasa unaweza kusema kwamba fulani ni ' Genius '. By the way kwa ninavyojua na hata ' Literatures ' mbalimbali zinasema kwamba duniani kote ' Kizazi ' kabisa cha Watu very ' Genius ' kilimalizika ama mwishoni mwa Karne ya 18 au ya mapema kabisa ya 19 ila kwa miaka ya karibuni / sasa hakuna ' Genius ' bali tunadanganyana tu ili tuweze Kushiba ' Miugali ' tuliyokula tusogeze Siku na maisha yaende.