Watu wengi wanoteseka wamezaliwa kwa bahati Mbaya, ni zao la uzinzi na wengine one night stand

Watu wengi wanoteseka wamezaliwa kwa bahati Mbaya, ni zao la uzinzi na wengine one night stand

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Binadamu ambao wanateseka ukifatilia Kwa makini ni unplanned human being. Hawakupanga kuzaliwa ni zao la uzinzi na wengine one night stand.

Ukitaka kupata mtoto huwa kuna sauti inakuijia inakuambia kabisa kuwa huu ndo muda wako wa kuwa na mtoto. Maaana viumbe huwa vinawasiliana kupitia inner voice.Na mtoto ndo huwa anamchagua mzazi na sio mzazi kumchagua mtoto.

Hivyo ukiona hauelewi mambo kaa na wataalamu wakuelekeze mambo.
 
Binadamu ambao wanateseka ukifatilia Kwa makini ni unplanned human being .

Hawakupanga kuzaliwa ni zao la uzinzi na wengine one night stand .


Ukitaka kupata mtoto huwa kuna sauti inakuijia inakuambia kabisa kuwa huu ndo muda wako wa kuwa na mtoto. Maaana viumbe huwa vinawasiliana kupitia inner voice

Na mtoto ndo huwa anamchagua mzazi na sio mzazi kumchagua mtoto.



Hivyo ukiona hauelewi mambo kaa na wataalamu wakuelekeze mambo .
Dah! mkuu unakosea sana hamna mtu kazaliwa bahati mbaya
 
Unaona kuna mtu mmoja anatimiza purpose yake na mwingine yupo kuharibu purposes za watu.

Watu ambao ni unplanned asilimia kubwa they have nothing to offer in this entity.
hakuna mtu unplanned ila watu wanafanya wanayoyafanya sababu ya malezi waliyopitia,matumizi ya pombe/drugs,hulka za mtu, maumivu au kukosewa/PTSD, kuhusu mtu kuwa maskini hilo ni suala lingine sisi sote ni wa MUNGU sote anatumulikia jua na kutunyeshea mvua sote katuweka dunia moja hajaweka dunia ya maskini, waovu,wema na matajiri katuchanganya wote humu GOD IS GOOD
 
Binadamu ambao wanateseka ukifatilia Kwa makini ni unplanned human being. Hawakupanga kuzaliwa ni zao la uzinzi na wengine one night stand.

Ukitaka kupata mtoto huwa kuna sauti inakuijia inakuambia kabisa kuwa huu ndo muda wako wa kuwa na mtoto. Maaana viumbe huwa vinawasiliana kupitia inner voice.Na mtoto ndo huwa anamchagua mzazi na sio mzazi kumchagua mtoto.

Hivyo ukiona hauelewi mambo kaa na wataalamu wakuelekeze mambo.
Shingo yako unaipa kazi ya bure kwa kubeba kichwa chenye maji ndani yake
 
Binadamu ambao wanateseka ukifatilia Kwa makini ni unplanned human being. Hawakupanga kuzaliwa ni zao la uzinzi na wengine one night stand.

Ukitaka kupata mtoto huwa kuna sauti inakuijia inakuambia kabisa kuwa huu ndo muda wako wa kuwa na mtoto. Maaana viumbe huwa vinawasiliana kupitia inner voice.Na mtoto ndo huwa anamchagua mzazi na sio mzazi kumchagua mtoto.

Hivyo ukiona hauelewi mambo kaa na wataalamu wakuelekeze mambo.
Hakuna mtu aliye au anaezaliwa kwa bahati mbaya, hayo mambo ya bahati mbaya ni mambo ya maongezi baada ya habari ila kwenye ulimwengu wa kiroho kwa sisi tunaoamini hakuna mtu anaezaliwa bahati mbaya.
 
Binadamu ambao wanateseka ukifatilia Kwa makini ni unplanned human being. Hawakupanga kuzaliwa ni zao la uzinzi na wengine one night stand.

Ukitaka kupata mtoto huwa kuna sauti inakuijia inakuambia kabisa kuwa huu ndo muda wako wa kuwa na mtoto. Maaana viumbe huwa vinawasiliana kupitia inner voice.Na mtoto ndo huwa anamchagua mzazi na sio mzazi kumchagua mtoto.

Hivyo ukiona hauelewi mambo kaa na wataalamu wakuelekeze mambo.
Una umri gani?
 
Back
Top Bottom