Wewe ni :Binadamu ambao wanateseka ukifatilia Kwa makini ni unplanned human being.
NakaziaUtoto raha sana
Binadamu ambao wanateseka ukifatilia Kwa makini ni unplanned human being. Hawakupanga kuzaliwa ni zao la uzinzi na wengine one night stand.
Una uhakika wazazi wako waliplan uzaliwe? Na We umefanikiwa kiasi gani, hadi uhukumu viumbe wa Mungu Elon?
Wapo.Dah! mkuu unakosea sana hamna mtu kazaliwa bahati mbaya
yaani wanyanduane wanaenda mpaka vitano tena bila kinga, halafu wakipata mimba wanasema bahati mbayaWapo.
Mabinti wa sekondari wanaopata mimba hovyo hovyo na kuzaa watoto.
Huleta watoto hao kwa bahati mbaya. Bila plan wala uwezo wowote ule wa kuwalea.
Hiyo ni bahati mbaya tayari.