Watu wengine bwana wanaboa sanaa

Mussa Tendeli

Member
Joined
Jun 9, 2016
Posts
26
Reaction score
12
Hawa watu wanaojiita et mim ni team kingkiba na team diamond au team bell 9.
Mim siwaelewi bwana utawakuta wamekaa kubishana na kurushiana matusi ya ajabu kisa vipaji vya watu vinavyowaingizia wao vpiato na kuwanya wayafurahie maisha yao.

Sasa najiuliza huo ni upumbavu,ujinga,ulimbukeni,au ujanja?
 
Mbona kama nawewe ni timu ccm?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…