Watu wengine bwana wanaboa sanaa

Watu wengine bwana wanaboa sanaa

Mussa Tendeli

Member
Joined
Jun 9, 2016
Posts
26
Reaction score
12
Hawa watu wanaojiita et mim ni team kingkiba na team diamond au team bell 9.
Mim siwaelewi bwana utawakuta wamekaa kubishana na kurushiana matusi ya ajabu kisa vipaji vya watu vinavyowaingizia wao vpiato na kuwanya wayafurahie maisha yao.

Sasa najiuliza huo ni upumbavu,ujinga,ulimbukeni,au ujanja?
 
Hawa watu wanaojiita et mim ni team kingkiba na team diamond au team bell 9.
Mim siwaelewi bwana utawakuta wamekaa kubishana na kurushiana matusi ya ajabu kisa vipaji vya watu vinavyowaingizia wao vpiato na kuwanya wayafurahie maisha yao.

Sasa najiuliza huo ni upumbavu,ujinga,ulimbukeni,au ujanja?
Mbona kama nawewe ni timu ccm?
 
Back
Top Bottom