Watu wenye Akili nyingi na matajiri hujadili IDEAS mfano Trump ameshambuliwa hajarusha dongo kwa yeyote, wenye akili ndogo kama Lissu hujadili watu

Watu wenye Akili nyingi na matajiri hujadili IDEAS mfano Trump ameshambuliwa hajarusha dongo kwa yeyote, wenye akili ndogo kama Lissu hujadili watu

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
 
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
You are uninformed, Trump ana Hekima? Unamjua Trump kweli wewe?
 
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
Afu pia Wewe mwenye akili hapa umemjadili nani ?
 
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
Acha uchawa wakijinga wewe!
 
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
Huu mfano wako siyo relevant kwenye haya maswala
Hii inaonyesha uvccm mlivyo na akili ndogo
 
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
Lissu atakuua kwa Sonona wewe.Kwa hiyo saa hizi Peter Msigwa saaaaafiiiiiiii?🤣🤣🤣🤣🤣🙏Mola saidia hiki kiumbe chako.Aaaaamiiin.
 
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
Kule kwa wenye akili Aliyemshambulua trump alipatikana
Lakini huku kwa majinga ya ccm wameshindwa kumpata aliyemshambulia lissu
 
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
Pandisha post zako za Idea tuzione tusome. Mmejaaa ujinga sana, hii post yako ndio Idea?
 
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
Kwa hiyo na wewe huna akili ni masikini maana umeanzisha thread ya kujadili watu hapa. Au ninasema uongo ndugu zangu?
 
Mleta mada nakushauri muombe LISSU akupe uja uzito uzae pengine utakaa sawa lakini ukapimwe afya kwanza hadi USHUZI wako upimwe ni aina gani ya bacteria, protozoa, fungus etc ulio nao maana usije tuharibua rais wetu wa baadae
 
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
Na wewe mwenyewe una akili ipi kati ya hizo mbili?
 
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
Utaahira, hoja ya kijinga. Na wewe umeamua kujadili watu akili ndogo
 
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4 lakini kila kiongozi anayesimama anamjadili Magufuli mara Samia.

Utashangaa masaa 3 yote yanaisha kutukana, kusimanga na kulaumu hawana ideas ama strategies za kuelezea wataifanyia nini Tanzania hawa wanaitwa Narrow minded people kwa sababu wana ufinyu wa fikra na hawatufai kuwa viongozi.

Viongozi Aina ya Magufuli na Trump ni watu wenye akili nyingi sana hujadili mawazo mapana ya nchi kwenye dira ya miaka 100 ijayo.

Ukimuona Mbowe au Lissu anamtukana Sana Magufuli siyo wao they have crippled mindset, ni watu wenye ubongo mdogo ni narrow minded people.
Hivi huoni unajisema wewe mwenyewe kwani tangu juzi tukio la Trump kupigwa risasi unatujazia server kumsema Lissu hiyo yako sasa ndiyo akili ndogo.
 
Back
Top Bottom