Watu wenye hasira zaidi duniani

-Watu wafupi
-macho kumchuzi
-wenye kigugumizi
-wenye mabusha
Nb.hiki ni kizalia hawakupenda kuwa hivyo....usiwacheke kuwabeza wala kuwadhihaki.HUJAFA HUJAUMBIKA...!!!
hapa unahusika braza kaka
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Watu wafupi kwa urefu gani maana mimi nina futi 6 lakini nina hasira kali sana.
 
Ila jamani watu wafupi ni shida hasa wanaume ni kweli huwa na Hasira, watu wafupi huwa na sifa na hali ya kujionyesha, Nadhani ile hali ya ufupi huwa fanya kukkosa ujasiri na kutanguliza hasira au kiherehere waonekane kama na wao wapo, Hasira na sifa ni kama silaha kwao katika kujiwakilisha kuwa wapo lol.
 
-Watu wafupi
-macho kumchuzi
-wenye kigugumizi
-wenye mabusha
Nb.hiki ni kizalia hawakupenda kuwa hivyo....usiwacheke kuwabeza wala kuwadhihaki.HUJAFA HUJAUMBIKA...!!!
-Wazanzibar na Wengine wanopenda democrasia ya kweli (Today Update)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…