WEWE KWELI Kidudu MtuMwe mwe mweee, mbona tunachunguzana hivi, au wewe TCRA?
Madame B ni ya kwanza kwa ubaya, kwasababu inamaanisha Madame Bange a.k.a mama wa tigo.Katika miaka 3 niliyojiunga humu JamiiForums nimekutana ID mbalimbali zenye majina mabaya na nyingine hata kuzisoma na kutamka ni kazi.Kama zifuatazo : NYANI MZEE ,jichawi , Bujibuji ,@mzabmzab , @chinchlla coat , nyakandula ,Erythrocyte ,Wervemarcel ,@jacspyro,GENTAMYCINE ,makalio ya kienyeji ,Mzizi wa Mbuyu,MziziMkavu ,Nyani Ngabu,@zeduduz ,@mpigamsuli,@mavimavi ,@ndyoko,kyamafi, @ulukulokwitanga,@kifilio ,Naibili nk wadau mnaweza na nyie mkaongeza kwa kuweka ID mlizokutana nazo humu
Hahahahaaaa... Shindwa pepoUyu Lizabon katoka kwenye ukoo wa shetani.
Hahahahaaaa... Shindwa pepo
Katagwa huyu ndo mana kila kitu cha thiithiemu kiwe zuri au baya kwake ni ndio tuhuyu @lizabon sijui ndo kifupi cha eliza amezaliwa au?
Huyo alie tokea ukoo wa shetani aka lizPepi mimi au Lizaboni?
Umenidhalilisha naenda mahakamani na uandae nilini 7!Acha kuropoka wewe. ID mbaya kabisa ni Daudi Mchambuzi, BAK, Mwanahabari Huru, Salary Slip na wengine. Yaani hao na kundi lao ni wafia chama kilichokufa cha chandomo na ni mavuvuzela ya hilo li chama lililokufa