Watu wenye ID mbaya humu JamiiForums

Watu wenye ID mbaya humu JamiiForums

Yaani wewe unawazaga siasa tu...
Hao ulio wataja ni wapinzani wako kuleeee kwenye jukwaa lenu, na hapa unaonyesha chuki za kisiasa na kiitikadi dhidi yao
Huyo dada atakuwa anawapenda hao ndo maana ameonyesha msisitizo
 
Katika miaka 3 niliyojiunga humu JamiiForums nimekutana ID mbalimbali zenye majina mabaya na nyingine hata kuzisoma na kutamka ni kazi.Kama zifuatazo : NYANI MZEE ,jichawi , Bujibuji ,@mzabmzab , @chinchlla coat , nyakandula ,Erythrocyte ,Wervemarcel ,@jacspyro,GENTAMYCINE ,makalio ya kienyeji ,Mzizi wa Mbuyu,MziziMkavu ,Nyani Ngabu,@zeduduz ,@mpigamsuli,@mavimavi ,@ndyoko,kyamafi, @ulukulokwitanga,@kifilio ,Naibili nk wadau mnaweza na nyie mkaongeza kwa kuweka ID mlizokutana nazo humu
Madame B ni ya kwanza kwa ubaya, kwasababu inamaanisha Madame Bange a.k.a mama wa tigo.
 
yaani wanawake wote humu ndani, rais wao wa tigo ni huyo mwenye Madame B. na anapiga kampeni sana apate wafuasi.
 
yaani wanawake wote humu ndani, rais wao wa tigo ni huyo mwenye Madame B. na anapiga kampeni sana apate wafuasi.
huyo hamfikii lara 1 kubwa la maadui mipango ya kutega mabomu na kuyalipua anayo ila usawa huu wa maghufuri atatia huruma mjini,hela za bata twazifanyia maendeleo
 
Back
Top Bottom