Watu wenye majina makubwa kuliko kazi zao!



Hahahah hivi ulikuwa huja notice kuwa jamaa huwa ni mbishi tu??? hahah huyo ndo kiranga mtoto wa uzaramoni mkuranga.....
 
.....am i mistaken or i ddnt get at your point!?

somehow!
you've mistaken or you didn't get my point!

Thee with clear mind should guess he's write haphazard words ! You've to hark and relax man!

Ain't put you in ordeal situation, in triviality like this!

So why you quote me with single line if you didn't get my point! ?
 
Metaphor na simile hutumika mithilisha vitu tuvijuavyo ili kukuza uzito wa hoja au ujumbe...

hahahah kiranga unajichanganya sana duh

Ukisema "I am stronger than Hulk, bigger than King Kong" unatoa simile kuonyesha kwamba una nguvu na ni mkubwa sana. Kama hao fictional characters Hulk na King Kong.

Hilo halimaanishi kwamba unakubali kwamba Hulk na King Kong wapo kweli outside of the fiction world.
 
Naona tunaelewanaa sasa maana umenijibu Kiswahili nimekuelewaa ee unaona mavizungu yako yanawaletea watu shidaa umeshazimikiwaa sasaa yote umeyataka wewe
Kuna sehemu nilikuona unachana mistariiii aisee we mkareeee

Ndo maana nakwambia kila siku tuanze english course lakini hautaki kuna siku tutashindwa kabisa kuchangia sababu ya kizungu
 

Huwezi kulinganisha vitu usivyovijua.......
 
Celebriti forum leo imepata wageniiii...au ni mi ndo sijatembelea huku siku nyingi....
Wapiiii tulosoma nao miembeni primary school hehehhehe...kazi ni kwetu
 
Huwezi kulinganisha vitu usivyovijua.......

Kuvilinganisha katika context gani?

King Kong kama fictional character namjua, kwa hiyo naweza kumlinganisha katika context hiyo.

Ditto the holy spirit.

You missed the sarcasm
 
Kuvilinganisha katika context gani?

King Kong kama fictional character namjua, kwa hiyo naweza kumlinganisha katika context hiyo.

Ditto the holy spirit.

You missed the sarcasm

Hahah ulisema upo kila sehemu kama roho mtakatifu....

Sarcasm pia hufanywa kwa kutumia vitu tunavyovijua....
 
Hahah ulisema upo kila sehemu kama roho mtakatifu....

Sarcasm pia hufanywa kwa kutumia vitu tunavyovijua....


sarcasm = A tongue of which the user speaks
of something the complete opposite of
what the user means.
 
Hahah ulisema upo kila sehemu kama roho mtakatifu....

Sarcasm pia hufanywa kwa kutumia vitu tunavyovijua....

Obviously hujaweza kunisoma.

Hata roho mtakatifu, the fictional character, namjua kutoka the fiction that is the bible.

Kwa hiyo naweza kufanya metaphor, simile na sarcasm in that context.

Kama ninavyoweza kusema "nina shabaha kama James Bond" nikijua wazi kwamba James Bond is a fictional character.
 
sarcasm = A tongue of which the user speaks
of something the complete opposite of
what the user means.

Exactly, obviously I cannot be everywhere at the same time, so my saying so was sarcastic, saying I am everywhere while meaning I can't be.

Some of us need literature 101.
 
Haya naona tunaenda kwenye mada ambayo wengine tu/watashindwa kushirik vyema kwakua uelewa wetu juu ya hayo mambo si mkuubwa kihivyo...

Kiranga,snipa na lusungo
Naomba turejee kwenye mada yetu ya mwanzo...
WATU WENYE MAJINA MAKUBWA NA KAZI ZAO..

I know some of u are one or even more step ahead at one or more things...include the language kwahyo naomba tuwe na tabiya ya kutambua hivyo ktk matumizi ya lugha nyepes na yakueleweka kwa wote,otherwise mnaweza mkawa mnazunguka kichaka bure kumbe wote mnakua na maana moja sema tu lugha haikutumika vyema kwenye kuwasiliana......
 
sarcasm = A tongue of which the user speaks
of something the complete opposite of
what the user means.

Umeelewa lakini nilichoandika?

Naelewa sarcasm ni nini na ndo mana nikaandika nilichoandika..period
 

Hahahaaa hata wewe hunisoma lengo langu....

Ni kwamba umekubali uwepo wa huyo roho mpaka ukaamua kumtumia kwenye sarcasm..simile na metaphor...

Mi nimetoa maana toka kwenye bandiko lako ndipo nikatambua unajua roho mtakatifu ni kitu cha namna gani na inapingana na zile kauli zako za kutoamini uwepo wa visivyoonekana ingawa unatamka kuna radhi na laana...teh teh teh
 

First of all, my diction is not necessarily aimed at the general public, it may be very well aimed at a Pythagorean sect straight out of some long lost Alexandrian scrolls.

Second of all, the highfalutin notion that there is a formula to life, and some people/ professions/ styles are more important and elevated than others is repugnant and insulting.

Third of all, do you, and let others do them. If you don't feel them, don't knock those who do.

Fourth of all, if you are wasting your time deriding people with supposedly no value to society, then it follows that you have even less input.
 
Umeelewa lakini nilichoandika?

Naelewa sarcasm ni nini na ndo mana nikaandika nilichoandika..period

it was my contemplation mkuu ain't meaning that you didn't know about it! though Sarcasm isn't a cloze test
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…