Watu wenye majina makubwa kuliko kazi zao!

Watu wenye majina makubwa kuliko kazi zao!

First of all, my diction is not necessarily aimed at the general public, it may be very well aimed at a Pythagorean sect straight out of some long lost Alexandrian scrolls.

Second of all, the highfalutin notion that there is a formula to life, and some people/ professions/ styles are more important and elevated than others is repugnant and insulting.

Third of all, do you, and let others do them. If you don't feel them, don't knock those who do.

Fourth of all, if you are wasting your time deriding people with supposedly no value to society, then it follows that you have even less input.

Kulaaaleki. Kulaaleki wallahi.
 
na wengine wana bahati mbaya, wana uwezo mkubwa kuliko majina yao, adam jonhson( sunderland player),grace matata,roberto di matteo(shalke)
 
Na Chuo cha ifm kina jina kubwa kuliko product wanazo toa...
Ha ha ha ha...

Au basi nafuta kauli yangu...
 
Mi naona kwenye hii mada Ravanelli anahusika mno...!!! Maana Kama ni mawaziri wakuu bora waliowahi kuwepo ktk Tanzania yetu yeye Hata ktk 3 bora hayumo...!!!

Lakini kelele ni nyingi sana mjini.. Huyu jamaa utafikiri....!!!


kaka umenikumbusha mbali ravanelli, juve & boro player, anapiga bao alafu anajifunika na jezi ,
 
Petitman wakuache... anayejua shughuli ya huyu jamaa atujuze tafadhali
 
Once again you persist in showing your lack of appreciation for a metaphor.

I am actually deriding the supposedly sacrosanct holy spirit with caustic sarcasm.

Any believer genuflecting before the holy spirit would hardly think about comparing himself to this hallowed spirit.

yah yah boss! i come to see me about hallowed spirit,you deriding me after you,ok ok?
 
Back
Top Bottom