Watu wenye Matamanio Yasiyokuwa na Mipaka: Rafiki yangu wa chuo ana ufanano mkubwa sana na Engonga wa Guinea

Ivi waarabu na wahindi mbona hawana hizi tabia? Kwamba hawana hisia ama? Nimesoma nao sijawahi kuona hizi tabia zilizokithiri kwa wabongo
Tamaduni zao zinawabana sana niliwahi ninarafikibyangu mhindi huwa anashangaa sana africa tunavyoishi na wanawake na huku hatujafunga ndoa. Yaani anaona maajabu na inawezekana vipi!
 
Tamaduni zao zinawabana sana niliwahi ninarafikibyangu mhindi huwa anashangaa sana africa tunavyoishi na wanawake na huku hatujafunga ndoa. Yaani anaona maajabu na inawezekana vipi!
Kweli kabisa mimi nawaza sijui wabongo akili zikoje wanaona sifa kuwa na demu wengi wakati huo wamepanga kigamboni maisha hoi kweli kweli, alafu waarabu na wahindi wanakuja na ndinga chuoni na hawana mawazo ya wanawake hata ukienda uarabuni huwezi kukuta tabia za hovyo kama hizi
 
We nawe utakuwa papai, huyo rafiki yako anachotofautiana na mimi ni kuwa yeye anarekodi kwenye daftari mi narekodi kwa kuhifadhi picha google photos.

Semester ya kwanza mwaka wa kwanza nilipita na 36, semester ya Pili ilikuwa 50+.

Mpaka namaliza bachelor ni kama Tu Balthazar ni 350-400 kwa hesabu ya picha nilizonazo googlephotos, achilia mbali ambao sina picha zao
 
Watu wa aina hii wengi wanabanwa wakiwa foolish age au wengne kwa kuwa hawana status wanahisi hawana hazi yakutoka na wanawake(overthinkers),lakini wakija kupata uhuru,status na pesa wanasema utawatambua kwa matendo wanatembea na gia namba tano (overdriving)
 
Engonga ni injini kiuno!
 
Wewe ni mgojwa wa akili..na unahitaji tiba ya kisaikolojia
 
Wakuu mnajua mkiwaelewa Wanawake ,hamtamshangaa BALTAZAR !!.

Trust me.

Wanawake watajua wewe ni Malaya ila Kila siku utawatomba.

Kuna mademu Mimi Huwa wananitukana sanaz Malaya mkubwa, unikomez ila within few minutes wanajuaa kwenye Mfumo na wanaliwa .
 
Kwa nini awe na tabia zisizo zake ? Yaani afuate nyie msioweza kulala na wanawake wengi ? Nishawahi sema kuwa binadamu ni wanyama. Kiasilia wanadam hawana mipaka katika sex. Sasa sie tunataka tufuate matakwa ya waliobuni mfumo wa kuoa. Kuoa mke mmoja mpaka 4 nk ni mfumo uliobuniwa kwa malengo mahususi. Kwa sababu mfumo huo sio halisi basi hautekelezeki japo wengi wanadanganya eti wapo kwenye ndoa, uongo mtupu.
Tangu niwe mtu mzima sijawahi ona mwanaume yupo kwenye ndoa yake tu, wengo wana malaya wa kutosha.
Hayo mamtu unayodhani yanaheshimika hamna kitu, nivile tu mambo wanafanyia gizani kama bartazar. Bartazar bila video angeendelea kuwa mr clean mpaka anazeeka.
Kitu kingine mnapozungumzia dhambi. Sio kila mtu anaamini ktk dhambi. your ethics is not his.
 
Spoken elegantly and objectively. Mimi nikiongeaga hivi huwa nashambuliwa sana 😂
 
Aisee ila Baltazar ni mwisho wa reli🙌🏽
Leo nmeona moja akiwa katikati ya barabara usiku wa manane anat.ia mwanamke, wote 2 very naked
 
Ivi waarabu na wahindi mbona hawana hizi tabia? Kwamba hawana hisia ama? Nimesoma nao sijawahi kuona hizi tabia zilizokithiri kwa wabongo
Ukiisoma hotuba ya Peter Botha, rais wa pili kutoka mwisho wa serikali ya makaburi ya Africa kusini (alikua akilihutubia baraza lake la mawaziri baada ya uchaguzi mkuu ) alisema mambo mengi kutuhusu watu weusi:-
Vitu pekee ambavyo mtu mweusi anaviweza na kuvifanya kwa ufasaha sana ni, kubadiri wanawake bila kiasi, kucheza miziki na ngoma, ukiwapa silaha watauana wenyewe kwa wenyewe. Mtu mweusi hana uwezo wa ku plan jambo linalo zidi miezi 12.
Ile hotuba nilii file somewhere kila nikiisoma naona utadhani imehutubiwa juzi while it was August 1985
 
Sahishi kabisa nafkiri nii ni nature na kila race ina asilimia zake, kama inawezekana itupue humu hiyo video au link yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…