Watu wenye Matamanio Yasiyokuwa na Mipaka: Rafiki yangu wa chuo ana ufanano mkubwa sana na Engonga wa Guinea


Ndo yule aliyeacha orodha ya watu aliowapq ngopa? Miaka ya 2001 au na 2?
 
Wanaume tupo aina hizi
1.High libido-Ana uwezo wa kua na mwanamke zaidi ya mmoja akawamudu bila shida yoyote.
2.Medium Libido-Huyu mwanamke mmoja anatosheka nae na hana ulazima sana wa kuwa na zaidi ya mmoja ingawa ana uwezo huo.
3.Low libido-Huyu mara nyingi hisia zake zinakuja na kukata muda wowote, mwanamke huchukizwa na mwanaume wa aina hii maana hafanyi vizuri
4.Zero Libido-Huyu hana uwezo kabisa(impotence) hafai kuwa na mwanamke.

NB:Huyo jamaa yupo namba moja.
 
Mmh 13 wachache sana mkuu hata kwa mwaka mbona wanafika tu.
Hapo umejibana sana
Mkuu mbona una speed sana? Kwa hiyo kwa umri wako umeshatembea na wanawake wangapi?🀣🀣
 
Mkuu mbona una speed sana? Kwa hiyo kwa umri wako umeshatembea na wanawake wangapi?🀣🀣
Kwanzia September 29 hadi leo ni 23 maana nilikaa miezi 8 bila kulomba mtu kwaiyo ikawa fungulia mbwa sababu ya nyege ila saivi nakaa tena mwaka bila kulomba nisije nika overdose 😁😁😁

Cc kataa ndoa
 
Hahah dah
 
Kwanzia September 29 hadi leo ni 23 maana nilikaa miezi 8 bila kulomba mtu kwaiyo ikawa fungulia mbwa sababu ya nyege ila saivi nakaa tena mwaka bila kulomba nisije nika overdose 😁😁😁

Cc kataa ndoa
Duh, mbona idadi kubwa sana mkuu!!🀣🀣
 
Aseee watu na bahati zao kwa kweli
 
Noma sana
 
Wewe pia Malaya 13 wote wa Nini? Hizi Tabia mnakuja kuambukiza watoto wenu wa kike Au wakiume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…