Watu wenye Matamanio Yasiyokuwa na Mipaka: Rafiki yangu wa chuo ana ufanano mkubwa sana na Engonga wa Guinea

Watu wenye Matamanio Yasiyokuwa na Mipaka: Rafiki yangu wa chuo ana ufanano mkubwa sana na Engonga wa Guinea

Umenikumbusha kuna mwamba kipindi tunasomachuo hapo jalalani alikuwa anajiita nyoka, mrefu, mweusi, mwembamba. Anasema yeye kila mwanamke atakayemtaka anamla na kweli alikuwa anawanyoosha. Usiku akirudi room yeye na rafiki yake wanajadili listi ya madem tu na mipango yao.

Ndo yule aliyeacha orodha ya watu aliowapq ngopa? Miaka ya 2001 au na 2?
 
Wanaume tupo aina hizi
1.High libido-Ana uwezo wa kua na mwanamke zaidi ya mmoja akawamudu bila shida yoyote.
2.Medium Libido-Huyu mwanamke mmoja anatosheka nae na hana ulazima sana wa kuwa na zaidi ya mmoja ingawa ana uwezo huo.
3.Low libido-Huyu mara nyingi hisia zake zinakuja na kukata muda wowote, mwanamke huchukizwa na mwanaume wa aina hii maana hafanyi vizuri
4.Zero Libido-Huyu hana uwezo kabisa(impotence) hafai kuwa na mwanamke.

NB:Huyo jamaa yupo namba moja.
 
Mkuu mbona una speed sana? Kwa hiyo kwa umri wako umeshatembea na wanawake wangapi?🤣🤣
Kwanzia September 29 hadi leo ni 23 maana nilikaa miezi 8 bila kulomba mtu kwaiyo ikawa fungulia mbwa sababu ya nyege ila saivi nakaa tena mwaka bila kulomba nisije nika overdose 😁😁😁

Cc kataa ndoa
 
Huyo aliyekufuata kukuomba umwachie mchumba wake, ungelimtoza hela.

Mi niliwahi kula rushwa ya ngono kwa mjinga kama huyo.

Na rushwa ya ngono niliyokula siyo ya kufanya mapenzi na mwanamke, bali ni rushwa ya pesa ili niliachilie jimbo jamaa aoe.

Alinifuata kama ulivyosema: 'ooh brother huyo ni mchumba wa brother angu, kachumbia karudi mjini anataka kuja kufunga naye ndoa'.

Nikamwambia anirudishie gharama nilizotoa ili niachie jimbo, vinginevyo kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake,akakubali kunilipa fidia nikampisha.
Hahah dah
 
Kwanzia September 29 hadi leo ni 23 maana nilikaa miezi 8 bila kulomba mtu kwaiyo ikawa fungulia mbwa sababu ya nyege ila saivi nakaa tena mwaka bila kulomba nisije nika overdose 😁😁😁

Cc kataa ndoa
Duh, mbona idadi kubwa sana mkuu!!🤣🤣
 
Niliposikia kuhusu tabia za Baltasar Ebang Engonga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (ANIF) la Guinea ya Ikweta, alinikumbusha rafiki yangu wa chuo. Rafiki huyu alikuwa na tabia zinazofanana sana na huyu Engonga, hasa katika masuala ya wanawake.

Nakumbuka nilipokuwa mwaka wa kwanza chuo, tulikutana na huyu jamaa na tukawa marafiki wakubwa. Tabia zetu zilifanana kiasi, ila yeye alinizidi kwa kiwango kisichokuwa na mipaka. Katika semesta ya kwanza, tayari alikuwa ametoka kimapenzi na wasichana zaidi ya 14 wa chuoni. Kufikia semesta ya pili, alianza kuhamia hadi vyuo jirani, na kufikia jumla ya wasichana 25 aliofanikiwa kuwa nao kwa mwaka wa kwanza.

Mambo yalizidi zaidi alipofanikiwa kuwa kiongozi kwenye serikali ya wanafunzi kama waziri wa loans chuoni. Katika mwaka wa pili, semesta zote mbili, alitembea na wasichana 75 na wamama watatu. Alipofika mwaka wa tatu, hali ilizidi kuwa mbaya zaidi. Kilichonisikitisha ni jinsi alivyorekodi kila mahusiano kwenye daftari lake, kila alipotembea na msichana, jina lake lilikuwa kwenye orodha. Aliweza hata kuwatongoza na kutembea na lecturers wawili wa kike bila uwoga wowote, kuna siku alikuja mzazi wa mwanafunzi mwenzetu ili atoe taarifa za kuuguabkwa mwanae muda mrefu bahati akakutana na mwamba kwenye corridor za chuo mwamba alimwelekeza ofisi zilipo ila baada ya wiki akala na yule mzazi.

Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Kuanzia wakati huo, nilianza kumhofia rafiki yangu. Nilihakikisha hajui kuhusu mahusiano yangu yoyote, maana nilihisi hana mipaka. Nilipomuuliza kama alikuwa na "dawa" ya kumwezesha hali hii, alisema hapana, kwamba hilo lilikuwa "la kawaida" kwake.

Mimi kwa upande wangu, katika miaka yote mitatu ya chuo nilikuwa na mahusiano na wasichana 13 tu, na nilihisi kama hiyo tayari ilikuwa zaidi. Baada ya kumaliza chuo, niliamua kuachana na tabia hizi na kuoa.

Rafiki yangu yule alikuwa na akili nyingi, na alikuwa na uwezo mzuri kitaaluma na kijamii pia alikuwa smart sana kimavazi na muonekano wake vilikuwa safi, na alikuwa na mvuto mkubwa kwa watu wengi. Lakini mimi nilijua upande wake wa pili, ambao hata wanaompenda hawakuwa na ufahamu nao.

Kwa sasa jamaa yangu ana cheo kikubwa kazini, na kila tunapoongea namkumbusha kuwa kitu pekee kinachoweza kumuangusha ni tamaa za wanawake. Japo ananiambia amebadilika, bado nina wasiwasi. Kuna watu ambao tamaa zao zimepitiliza katika masuala ya ngono, kama huyu Engonga na rafiki yangu, ambao wanahitaji msaada wa wanasaikolojia ili waweze kudhibiti tabia zao. Maana, ukiwa na tamaa hizi, unaweza kuwa na msichana mmoja leo na dakika tano baadae ukamhitaji mwingine – bila hisia yoyote.
Aseee watu na bahati zao kwa kweli
 
Noma sana
Niliposikia kuhusu tabia za Baltasar Ebang Engonga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (ANIF) la Guinea ya Ikweta, alinikumbusha rafiki yangu wa chuo. Rafiki huyu alikuwa na tabia zinazofanana sana na huyu Engonga, hasa katika masuala ya wanawake.

Nakumbuka nilipokuwa mwaka wa kwanza chuo, tulikutana na huyu jamaa na tukawa marafiki wakubwa. Tabia zetu zilifanana kiasi, ila yeye alinizidi kwa kiwango kisichokuwa na mipaka. Katika semesta ya kwanza, tayari alikuwa ametoka kimapenzi na wasichana zaidi ya 14 wa chuoni. Kufikia semesta ya pili, alianza kuhamia hadi vyuo jirani, na kufikia jumla ya wasichana 25 aliofanikiwa kuwa nao kwa mwaka wa kwanza.

Mambo yalizidi zaidi alipofanikiwa kuwa kiongozi kwenye serikali ya wanafunzi kama waziri wa loans chuoni. Katika mwaka wa pili, semesta zote mbili, alitembea na wasichana 75 na wamama watatu. Alipofika mwaka wa tatu, hali ilizidi kuwa mbaya zaidi. Kilichonisikitisha ni jinsi alivyorekodi kila mahusiano kwenye daftari lake, kila alipotembea na msichana, jina lake lilikuwa kwenye orodha. Aliweza hata kuwatongoza na kutembea na lecturers wawili wa kike bila uwoga wowote, kuna siku alikuja mzazi wa mwanafunzi mwenzetu ili atoe taarifa za kuuguabkwa mwanae muda mrefu bahati akakutana na mwamba kwenye corridor za chuo mwamba alimwelekeza ofisi zilipo ila baada ya wiki akala na yule mzazi.

Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Kuanzia wakati huo, nilianza kumhofia rafiki yangu. Nilihakikisha hajui kuhusu mahusiano yangu yoyote, maana nilihisi hana mipaka. Nilipomuuliza kama alikuwa na "dawa" ya kumwezesha hali hii, alisema hapana, kwamba hilo lilikuwa "la kawaida" kwake.

Mimi kwa upande wangu, katika miaka yote mitatu ya chuo nilikuwa na mahusiano na wasichana 13 tu, na nilihisi kama hiyo tayari ilikuwa zaidi. Baada ya kumaliza chuo, niliamua kuachana na tabia hizi na kuoa.

Rafiki yangu yule alikuwa na akili nyingi, na alikuwa na uwezo mzuri kitaaluma na kijamii pia alikuwa smart sana kimavazi na muonekano wake vilikuwa safi, na alikuwa na mvuto mkubwa kwa watu wengi. Lakini mimi nilijua upande wake wa pili, ambao hata wanaompenda hawakuwa na ufahamu nao.

Kwa sasa jamaa yangu ana cheo kikubwa kazini, na kila tunapoongea namkumbusha kuwa kitu pekee kinachoweza kumuangusha ni tamaa za wanawake. Japo ananiambia amebadilika, bado nina wasiwasi. Kuna watu ambao tamaa zao zimepitiliza katika masuala ya ngono, kama huyu Engonga na rafiki yangu, ambao wanahitaji msaada wa wanasaikolojia ili waweze kudhibiti tabia zao. Maana, ukiwa na tamaa hizi, unaweza kuwa na msichana mmoja leo na dakika tano baadae ukamhitaji mwingine – bila hisia yoyote.
 
Wewe pia Malaya 13 wote wa Nini? Hizi Tabia mnakuja kuambukiza watoto wenu wa kike Au wakiume.
 
Back
Top Bottom