kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Nakubaliana nawe mkuu,kwani licha ya kuwepo wasomi, bado unakuta wanashabikia mambo ya imani za kijinga na ambazo ziko nyingi na wakati mwingine zimeleta usumbufu sana kwa watu wengineHuku kwenye ulimwengu wa tatu ni vigumu sana kuondokana na hizi dhana potofu.
Na tatizo kuu ni ujinga. Na ujinga wetu hauna tabaka. Hata wale waloelimika kwa hii elimu rasmi ya darasani nao wanasumbuliwa na ujinga.
Imagine majuzi tu hapa watu na elimu zao walikuwa wanaamini kuwa Donald Trump kawasema vibaya Waafrika na watu weusi ilhali wala haikuwa vigumu kuutafuta ukweli....sasa sembuse kuhusu hizi dhana potofu zilizoota mizizi mirefu?
Mimi sishangai kabisa.
Kwanza kwa mtazamo wangu naamini jeshi letu kama taasisi linaongoza kuwa na watu walio wajinga [ignorant].
Sent using Jamii Forums mobile app