Watu wenye 'potential' na masikini kwanini hawachunguzwi?

Watu wenye 'potential' na masikini kwanini hawachunguzwi?

DidYouKnow

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2019
Posts
1,229
Reaction score
1,950
Nilikuwa na maongezi ya simu na mpya wangu.

Aliniuliza kwanini mtu akionekana ana mali, hasa kama ni mtumishi wa serikali huishia kuchunguzwa? Kwani serikali inataka watu wake waishie kuwa maskini? Akaniuliza vipi wale watu wenye potential zote za kufanikiwa na bado ni maskini, kwanini hawachunguzwi?

Inafikirisha...
 
Akaniuliza vipi wale watu wenye potential zote za kufanikiwa na bado ni maskini, kwanini hawachunguzwi?

- Hawajulikani ndiyo maana...
 
Wanachunguzwa weneye hele ya kukamata benki. Ambaye hana kitu umchunguze ili iweje?
 
Back
Top Bottom