Watu wenye roho za kikatili waumizwa na Mdude kuwa huru

Watu wenye roho za kikatili waumizwa na Mdude kuwa huru

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Hukumu ya mahakama iliyomweka Mdude huru imewaumiza watu wasio na roho ya kibinadamu wanaoamini kwenye kukandamiza wenzao.

Mashambulizi yao mitandaoni yanadhirisha kwamba walitamani aendelee kuozea ndani kitu ambacho siyo sahihi. Wapo waliojinasibu kumchangia kumbe hakuna mchango wamewahi kutoa kwa mhanga yeyote wa ukandamizaji haki nchini, wanajiita wazalendo.shame

Tukubali kwamba mwenye haki siku zote yupo huru na mkiendelea kumwombea mabaya mtaondoka atabaki.

Vijana wanaodhani kwamba watapata madaraka kwa kuwaumiza watu nakutumia dola vibaya wanajidanganya. Simammeni jukwaani mpinge hoja kwa hoja siyo kushambulia watu mkielekeza dola ikamate wanaowazidi kwa hoja.

Vijana wanaoweza kumtukana na kumdhalilisha Makamu wa Rais Zanzibar kisa tu si CCM na wakavumiliwa si vijana wakuwapa madaraka. Jifunzeni kuteua watu wenye credibility, sajili vijana wenye akili vyuoni achananeni na makapi yasiyo na hoja.

Unapokuwa na umoja wa vijana wasiojitambua na wanaowaza kuumiza watu ni umoja mfu. UVCCMsiyo tawi la Polisi mseme mtamwekeleza ocD au RPC chakufanya, UVCCM Ni timu ya wanasiasa fanyeni siasa. Acheni kuegemea kwenye dola mnaposhindwa kwa hoja
 
Siyo kwa huuu mgonjwa wa akili,mtalaumu watu bure tu.
 
Trend ya mdude kutukana mamlaka ipo wazi
 
Atapata anachotaka sio muda nyie mpeni kichwa tu
 
Waliokosea ni wale walipompa maiki aongee...Mdude alitakiwa atulize ndonga kwanza, mm binafsi kaniboa sana
 
Alichofanya mdude,ni utovu wa
nidhamu.
Ni lazima tukemee utovu huu
wa nidhamu pasi na kuangalia
upande fulani.
 
Lakini anahitaji kupumzika kidogo otherwise atakuwa time bomb na atajikuta sio sehemu salama. Akiweza ajitahidi kufanya siasa zenye manufaa kwake binafsi otherwise itamsumbua zaidi yeye na viongozi wake wapo kimya tu.

Inawezekana ana maumivu mengi moyoni Ila ashukuru yupo huru japo alishinda kesi kupitia Mahakama Ila akumbuke kwamba hiyo Mahakama isingekuwa huru kama enzi za bwana yule Leo asingekuwa huru hata kidogo.

Sometimes it's better kupima mambo kwa nyakati, yawezekana CCM ni ileile lakini kiongozi ni mwingine ana utashi tofauti kidogo.

Hebu akatulie kwanza na ajitafakari anataka kufanya siasa gani ya upinzani, asije kujikuta hata upinzani wakamuona ni mwehu pia.
 
Lakini anahitaji kupumzika kidogo otherwise atakuwa time bomb na atajikuta sio sehemu salama. Akiweza ajitahidi kufanya siasa zenye manufaa kwake binafsi otherwise itamsumbua zaidi yeye na viongozi wake wapo kimya tu.

Inawezekana ana maumivu mengi moyoni Ila ashukuru yupo huru japo alishinda kesi kupitia Mahakama Ila akumbuke kwamba hiyo Mahakama isingekuwa huru kama enzi za bwana yule Leo asingekuwa huru hata kidogo.

Sometimes it's better kupima mambo kwa nyakati, yawezekana CCM ni ileile lakini kiongozi ni mwingine ana utashi tofauti kidogo.

Hebu akatulie kwanza na ajitafakari anataka kufanya siasa gani ya upinzani, asije kujikuta hata upinzani wakamuona ni mwehu pia.
Haya maoni yako ni reflection ya udhaifu wetu waafrika weusi. Kweli ndiyo maana tulipelekwa utumwani! Kwanza hata uhuru wenyewe wali tupatia kwasababu waliona aibu. Na kamwe siyo kwa akili hizi.
 
Naachaje mafundisho ya dini?
Serikali ina dini gani?

Pia hukunielewa point yangu! Kama ungekuwa na dini kiukweli, ungeweza kuelewa nilichomaanisha! Nilikuwa na kupima tu! Mamlaka isiyohojiwa hapa duniani, ni ya Mungu peke yake kwa wale wenye dini! Otherwise kama ni mwanadamu, basi ni dictator!

Got it?
 
Haya maoni yako ni reflection ya udhaifu wetu waafrika weusi. Kweli ndiyo maana tulipelekwa utumwani! Kwanza hata uhuru wenyewe wali tupatia kwasababu waliona aibu. Na kamwe siyo kwa akili hizi.
Ninajaribu kutumia busara Ila ukiona aendelee kuongea shit basi aendelee tu. Kuna wakati wa kutulia na kujipanga upya sio mtu anabwatuka tu kama mshenzi.

Sijawahi kuipenda CCM Ila msitufanye wengine tuone kwamba upinzani kuna vichaa who needs a whip on their asses. Sio sawa.

Tustaarabike. Unapodai haki yako pia tumia njia za haki.

Sisi tulio Mahakamani kuna msemo wa kisheria unasema " when you come to equity you must come with clean hands".

Usidai haki wakati mikono yako imejaa damu. Sasa kama sitaeleweka basi wacha waendelee hata mie ningekuwa na Mamlaka ningesema enough with disrespect then tuone nani atakuwa mshindi.

Tusifike huko.
 
Labda wewe ndiyo mshenzi, maana hata hujaweza kujibu point yangu hata kwa theluthi moja!

Afdhali hata kama ungekuwa unajibu kuhusu point yangu ya kutokujali kwa watumwa walipokuwa wakidai uhuru wao! Lakini hapo ni America. Lakini chanzo cha kupelekwa utumwani, ni fikra kama hizi ambazo ni za kawaida kwa waafrika walio wengi. Sidhani kama una uwezo wa kuelewa.
Eti “afanye siasa zenye manufaa yake binafsi “

“What a crap”
 
Labda wewe ndiyo mshenzi, maana hata hujawezi kujibu point yangu hata kwa theluthi moja!

Afdhali hata kama ungekuwa unajibu kuhusu point yangu ya kutokujali kwa watumwa walipokuwa wakidai uhuru wao! Lakini hapo ni America. Lakini chanzo cha kupelekwa utumwani, ni fikra kama hizi ambazo ni za kawaida kwa waafrika walio wengi. Sidhani kama una uwezo wa kuelewa.
Tulia usome vizuri, otherwise endelea na unachoamini sio lazima ulazimishe utumwa iwe point. Fala wewe
 
Labda wewe ndiyo mshenzi, maana hata hujawezi kujibu point yangu hata kwa theluthi moja!

Afdhali hata kama ungekuwa unajibu kuhusu point yangu ya kutokujali kwa watumwa walipokuwa wakidai uhuru wao! Lakini hapo ni America. Lakini chanzo cha kupelekwa utumwani, ni fikra kama hizi ambazo ni za kawaida kwa waafrika walio wengi. Sidhani kama una uwezo wa kuelewa.
Eti “afanye siasa zenye manufaa yake binafsi “

“What a crap”
Unaongelea utumwa wakati dunia ipo mbali kwa sasa. Mie nawe tuna level tofauti sana ya kuanalyse mambo aisee.

Utumwa ni level za sekondari ndio unaongelewa Ila hata mie ningekuwa enzi hiyo ningewauza maana mnalalamika tu. Stupid.
 
Back
Top Bottom