Dotto Mnzava
R I P
- Mar 6, 2014
- 864
- 427
Kwa mujibu wa wakuu wa Mtandao wa Kijamii wa Twitter wamesema, Katy Perry anaongoza kwa kuwa na wafuasi wengi ambao ni 78.3 milioni, akifuatiwa na Justin Bieber - 70.5 milioni.
Wengine ni pamoja na Taylor Swift ambaye anawafuasi 66.7 milioni huku Rais Barack Obama wa Marekani akiwa na wafuasi 66.5 milioni na Mwanamuziki Rihanna ambaye anawafuasi 53.1 milioni.
Wengine ni pamoja na Taylor Swift ambaye anawafuasi 66.7 milioni huku Rais Barack Obama wa Marekani akiwa na wafuasi 66.5 milioni na Mwanamuziki Rihanna ambaye anawafuasi 53.1 milioni.