Watu weusi Afrika Kusini waache kujifaragua. Bila wazungu hayo maendeleo na uchumi utabaki ndoto

We! Wakati Tanganyika inapata uhuru maisha yalikuwa safi sana, hakukua na wizi, miji ilikuwa misafi, hospitali zilimtibu kila mtu na chakula kwa wagonjwa kilikuwepo, shule zilikuwa safi na mwanafunzi alipata elimu bora yenye kiwango cha ulaya na alipewa kila kitu shuleni kasoro unifomu.
Nimalizie kwa kukujulisha kuwa thamani ya fedha ilikuwa sawa na ya Uingereza, tatizo tulipopata uhuru viongozi wakaanza kugawana alivyoviacha mwingereza na kuanza kutudanganya eti idadi ya wananchi ni kubwa! Yaani ghafla?
 
Wajanja wa dunia walishatushika akili tuko tunacheza mziki wao, wametuaminisha kuwa kuendelea ni kumiliki nyumba ya tofali ya kuchoma au saruji tena iwe na vioo na nzuri zaidi iwe ya ghorofa.
Pembeni upaki motokari safi na uwe na unafanya kazi ya elimu ya chuo au uwe unafanya biashara za bidhaa zao au za Mchina.
Mwanao awe anasoma English Medium inayofuata mtaala wao.

tumesahau kuwa Duniani tumekuja kuishi siyo kupigania Maisha...
 
Ina faida gani sasa kama makaburu wanaendesha nchi na kujineemesha, au wasauzi waendelee kupata hiyo proud kwamba nchi yao ni tajiri?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ