Watu weusi (Black African) wana uwezekano mkubwa zaidi wa kupata Magonjwa ya Moyo kuliko Wazungu

Watu weusi (Black African) wana uwezekano mkubwa zaidi wa kupata Magonjwa ya Moyo kuliko Wazungu

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Screenshot_2024-04-04-13-38-44-744_com.brave.browser_beta-edit.jpg

Leo katika pitapita zangu Mtandaoni nimekutana na taarifa ya kushtua kidogo kwamba Watu wenye asili ya Afrika (Waafrika Weusi) wanakuwa hatarini zaidi kupata Magonjwa ya Moyo ikiwemo Shinikizo la Juu la Damu kuliko Watu weupe (Wazungu).

Hili jambo lina ukweli kiasi gani?
 
1) Badilisha Title. Na isomeke Wamarekani weusi au Waafrika waliopo Ulaya kwasababu research imefanyika Marekani au Ulaya na sio Barani Afrika.(itafutwe chanzo na eneo husika ilipofanyika research hii huko Marekani au Ulaya na Iwekwe Bayana hapa.

Stop this OverGeneralisation

2) Iwekwe tahadhari kuwa hakuna Uhusiano wowote ule na Waafrika wa Afrika au Watanzania, kwa sababu Mazingira hayafanani.

3) Ama Futeni uzi huu kabisa.
 
Ata sicklecell huwapata watu weusi tu na haiwapati wazungu
 
1) Badilisha Title. Na isomeke Wamarekani weusi kwasababu research imefanyika Marekani na sio Barani Afrika.(itafutwe chanzo na eneo husika ilipofanyika research hii huko Marekani. Iwekwe Bayana hapa.

Stop this OverGeneralisation

2) Iwekwe tahadhari kuwa hakuna Uhusiano wowote ule na Waafrika wa Afrika au Watanzania, kwa sababu Mazingira hayafanani.

3) Ama Futeni uzi huu kabisa.
Utafiti haujasema Black American imesema Black African!

Relax
 
Utafiti haujasema Black American imesema Black African!

Relax
Wacha kujiondoa Ufahamu na Lugha iliyotumika.

Hata hivyo Utafiti huu haujafanyika sehemu yeyote ile Afrika na kwa maana hiyo, hakuna uhusiano wowote na matokeo ya Utafiti huo kuwa na any relations na Watanzania, Sembuse Waafrika walio katika bara la Afrika.

Wacha Ugaidi
 
Wacha kujiondoa Ufahamu na Lugha iliyotumika.

Hata hivyo Utafiti huu haujafanyika sehemu yeyote ile Afrika na kwa maana hiyo, hakuna uhusiano wowote na matokeo ya Utafiti huo kuwa na any relations na Watanzania, Sembuse Waafrika walio katika bara la Afrika.

Wacha Ugaidi
Wewe ndiye unayesema! Taarifa ya NHS haijasema unavyotaka iwe.
 
Wewe ndiye unayesema! Taarifa ya NHS haijasema unavyotaka iwe.
Nishasema, Utafiti huo haujafanyika Hapa Tanzania wala Afrika.

NHS ni ya wapi?

Itoshe kuchukua Takwimu au matokea ya Utafiti kutoka chombo cha Serikali na ukatumia matokeo hayo kufanya Ugaidi kama huu hapa, ni kosa.
Nina Uhalika huwezi ukaleta au ukaweka hayo matokeo ya Utafiti huo, kwa Uwasilishaji wako Uingereza.

Narudia, Usijiondoe Ufahamu na Lugha iliyotumika pamoja na Uhusiano wa Utafiti huo na Watanzania.

Ni kuulize, lengo lako haswa ni lipi? Kuelimisha? Kutoa Taarifa? Kutafuta Suluhishi? au Kutukana?
 
Back
Top Bottom