Watu weusi duniani kote waanzisha kampeni ya kurudi Tanzania, waishangaa Tanzania

Watu weusi duniani kote waanzisha kampeni ya kurudi Tanzania, waishangaa Tanzania

Nimewaona wengi sana hapo youtube, na sasa wanaitana. Wengine ni teen-agers lakini wamekuja. watakaofuata ni wengi zaidi. Pamoja na kwamba sheria za kumiliki ardhi Tanzania kwa mgeni ni ngumu, hakuna uraia pacha, na kuupata uraia wa Tanzania ni zoezi, anatakiwa awe amekaa hapa kwa miaka mitano angalau. Lakini bado wanakuja.

My take: Kwenye sega la asali ndipo hukusanyika nyuki.
 
Yani mkuu mm mwenyewe sijaelewa kwnn wameamua kukimbilia Tz, au umaarufu wa Magu kutokana na sakata la covid-19 ukafanya watu waifuatilie sn Tz na kugundua ni Eden ya dunia kwa ss.
Magu ameifanya Tanzania ijulikane duniani, kila anayefika Tanzania hakuna anayetaka kuondoka. Tanzania ni nchi yenye sifa zote za kuwafanya wageni kupenda kuishi.

Kitu muhimu sana ambacho kiumbe chochote kinapenda katika maisha ni Amani, usalama na upendo. Kisha ni fursa mbalimbali za kujipatia riziki na kujiendelea.

Sasa hivi nchi tatu za Africa ndio kimbilio la watu weusi 1)Gambia 2)Ghana 3)Tanzania. Gambia na Ghana ni kwasababu ndio chimbuko la mababu zao na wakipima DNA, 98% zinaonyesha wametokea West Africa, pia hizi nchi zimewapa ruhusa ya kurudi na kuishi kama raia wa nchi hizo, ila kwa Tanzania ni tofauti kabisa.
 
Yani mkuu mm mwenyewe sijaelewa kwnn wameamua kukimbilia Tz, au umaarufu wa Magu kutokana na sakata la covid-19 ukafanya watu waifuatilie sn Tz na kugundua ni Eden ya dunia kwa ss.
Jambo la kushangaza ni kwamba, kuna nchi ambazo zimeruhusu "Dual citizenship", zinaruhusu wageni kumiliki ardhi, zinatumia lugha ya Kiingereza, lakini bado hawapendelei kwenda huko badala yake wameamnua kuja Tanzania ambayo sheria zake za uhamiaji bado ni ngumu.
 
Kaka uchaguzi wa Tanzania ni kitu kidogo sana duniani na hata hapa nchini, mbona kila kitu kipo wazi kinachofanyika ni kukamilisha ratiba tu.
Sio kitu kidogo Tanzania ni nchi yenye influence kubwa afrika kwa hiyo ukishika Tz umeshika influence pia kuna Mali nyingi Tanzania kwa hiyo ukiweka watu wako utazichukua hizo Mali kiulaini nafikiri huijui Tanzania vizuri.
 
Yani mkuu mm mwenyewe sijaelewa kwnn wameamua kukimbilia Tz, au umaarufu wa Magu kutokana na sakata la covid-19 ukafanya watu waifuatilie sn Tz na kugundua ni Eden ya dunia kwa ss.

Despite Tanzania being seen as a peaceful country and with potential of opportunities, the MAIN thing they are eyeing for is LAND. And this is accessible contrary to our thinking. LAND should strongly be protected for the benefit of Tanzanians.
 
Sio kitu kidogo Tanzania ni nchi yenye influence kubwa afrika kwa hiyo ukishika Tz umeshika influence pia kuna Mali nyingi Tanzania kwa hiyo ukiweka watu wako utazichukua hizo Mali kiulaini nafikiri huijui Tanzania vizuri.
Ni kitu kidogo kwa maana kwamba ni mechi kati ya Barcelona na Mtibwa, mbona majibu yapo wazi kabisa, huyo mtu wako utampenyeza wapi?
 
Despite Tanzania being seen as a peaceful country and with potential of opportunities, the MAIN thing they are eyeing for is LAND. And this is accessible contrary to our thinking. LAND should strongly be protected for the benefit of Tanzanians.
Sheria zetu za ardhi ni miongoni mwa sheria bora sana katika kumlinda mtanzani dhidi ya wageni wenye nguvu.

Mimi siamini sana kwamba ni Ardhi ndio inayowavutia, kumbuka nchi kama Ethiopia, Ghana na nchi nyingine za Africa zimetenga maeneo maalumu kwa ajili ya hawa waafrika wanaorudi nyumbani na wanawapa bure, tulitegemea wangeenda huko zaidi ya Tanzania.

Msikilize huyu mama sababu zinazowafanya kuja Tanzania
 
Back
Top Bottom