Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
UWEZO WAKO WA KUFIKIRI NDO UMEISHIA HAPO?Haukujua kwamba alikuwa ni ugonjwa, ulisema ni mkosi na laana,hadi taahira ya akili, mnafiki mkubwa kabisa wewe, watu weusi miongoni mwetu kuna maji ya kunde, tuna weupe na waupe kabisaaa, hata miongoni kwetu kuna watu kwenye pua nyembamba,mweupe hawezi geuza rangi Yake kuwa nyeupe, ugonjwa Huo ulijitokeza baadae, mchanganyiko wa ndoa kwa waliofukuzwa na waswahili weupe ndio ulisababisha kizazi cha watu weupe machotara lakini mpaka wakati Huo watu walikuwa wanaheshimiana, ubaguzi umeanza karibuni tu karne ya kwanza na baada
watu kama hao wapo mahali popote duniani ...ubishi nisehemu ya nguzo muhimu ktk maisha yao..nasio kwamba hawaelewi ..hapana but udhaifu wao nikubishana tu..but kuna wengine wanabisha ili wapate kuyapekua mambo na kuweza kuyajua..nawatu hao ktk mjadala niwatu muhimu mnooo kwasbabu huwa wanamchokonoa mtoa mada na wale wenye uelewa kama wamtoa mada kuweza kufunguka zaidi nikulielezea jambo kwakina. ...nahapo ndio tunakuja kupata maana halisi ya MJADALA...ubishi unapaswa kuwa ndani ya factBaadhi yenu humu, hata mpewe ushahidi gani bado mtaendelea kubisha
KWANI WAMASAI NI WAZUNGU? NIMEKUAMBIA WAMASAI WAMETIKEA SUDAN, SIJAKUAMBIA WAZUNGU WAMETOKEA SUDAN. WEWE MEMKWA NINI! AU WALE MIONGONI MWA WALE VILAZA NINI!Ala kumbe unajua, Sudani yakusini kwa wazungu sioooo?????
Wewe ndio hujui na kichwa chako ngumbalu, sasa unaanza kubishia sayansiKWA KILI YAKO UNAKUBALI KABISA BINADAMU WA KWANZA ALIKUWA MMASAANI WA NGORONGORO? WAMAASAI WAMEHAMIA PALE KARNE NYIUNGI SANA BAADA YA YESU KUZALIWA WAKITOKEA SUDAN YA KUSINI. KULE OLDUIVAI VOLKANO HAI NI NYINGI SANA, HATA MIAKA YA JUZI JUZI TU IMEENDELEA KULIPUKA. HICHO KILICHOOKOTWA NA DR. LECY NI KICWA CHA MAASAI WA JUZI ALIYENASA KATIKA VOLCANO. HAMNA ANAYEJUA BINADAMU WA KWANZA ALIKUWA WAPI. HIVO VIFAA WANAVYOTUMIA KUPIMIA VIMETENGEZWA NA BINADAMU WA JUZI KWA SETTING WALIZOPANGA WENYEWE. KABLA YA WAMAASAI KUFIKA NGORONGORO WALITANGULIA WAGATOGA (WAMANG'ATI) KUFIKA NGORONGORO. NA WENYEWE PIA WALITOKEA SUDAN KAMA ILIVYO KWA WAMASAI.
SAYANSI SI INASEMA WEWE UMETOKANA NA SOKWE. NA HILO KWAMBA WEWE UMETYOKANA NA SOKWE UNALIKUBALI?Wewe ndio huji na kichwa chako ngumbalu, sasa unaanza kubishia sayansi
KWANI WAMASAI NI WAZUNGU? NIMEKUAMBIA WAMASAI WAMETIKEA SUDAN, SIJAKUAMBIA WAZUNGU WAMETOKEA SUDAN. WEWE MEMKWA NINI! AU WALE MIONGONI MWA WALE VILAZA NINI!
Unapenda hadithi nzuri ya adamu na Eva weupe?????? Na nyoka wanao ongea? Unaiamini sana!SAYANSI SI INASEMA WEWE UMETOKANA NA SOKWE. NA HILO KWAMBA WEWE UMETYOKANA NA SOKWE UNALIKUBALI?
KUNA FASIHI MOJA YA KISWAHILI INASEMA ..KUNA WATU WASIPOKUELEWA KIMANENO NA KIMATENDO INAKUBIDI UMSHUKURU MUNGU MAANA UWEZO WAKO WAKUFIKIRI UTAKUWA NI CHANYA ZAIDI YAO NA UKIONA WAMEANZA KUKUELEWA BASI JITATHIMINI HUWENDA IKAWA UMEANZA KUWAZA KAMA WAOKazi kweli ndugu Luna watu wanabisha kufurahisha jopo
hahaaa eti nyoka alikuwa na miguuUnapenda hadithi nzuri ya adamu na Eva weupe?????? Na nyoka wanao ongea? Unaiamini sana!
Asante nduguKUNA FASIHI MOJA YA KISWAHILI INASEMA ..KUNA WATU WASIPOKUELEWA KIMANENO NA KIMATENDO INAKUBIDI UMSHUKURU MUNGU MAANA UWEZO WAKO WAKUFIKIRI UTAKUWA NI CHANYA ZAIDI YAO NA UKIONA WAMEANZA KUKUELEWA BASI JITATHIMINI HUWENDA IKAWA UMEANZA KUWAZA KAMA WAO
so hao niwakuachana nao tu mkuu ..hata kina Mandela.Mobutu seseko wkati wanayapigania mataifa yao kujikomboa ktk ukoloni kuna watu ambao walikuwa hawa waelewi nawalikuwa wanaona sawa tu kuendelea kutawaliwa...but mwisho wasiku wale waliokuwa wanafanya harakati waliweza kuwakomboa watu wote pasipo kujali kama waliwaunga mkono au waliwa kebehi
Vitabu hivyo vya uongo ndio vimekujaza tope na uji kichwaniSAYANSI SI INASEMA WEWE UMETOKANA NA SOKWE. NA HILO KWAMBA WEWE UMETYOKANA NA SOKWE UNALIKUBALI?
kwa hiyo wewe unamini ulikuwa na mkia kama nyani.Unapenda hadithi nzuri ya adamu na Eva weupe?????? Na nyoka wanao ongea? Unaiamini sana!
We tuambie jinsi Eva alikula tunda...nyoka akaongea, mbona hawaongei sikuhizi???
Ndio, na nyani wapo mpaka leo, huyo nyoka anayeongea yuko wapi? Penda Sana hadithi mzuri, unachukia rangi yako ya ngozi na kujichukia mwenyewe!!!! Moyoni unatamani Sana ungekuwa mweupe,ungepata dawa ungechibua kabisa????kwa hiyo wewe unamini ulikuwa na mkia kama nyani.
Nyoka anayeongea??? Yuko wapi??? Wepesi wa kuamini ngano za myahudi, zilizotungwa nyakati za giza na ujinga, badala ya kupendana na kujenga bara lenu mnasubiria kwenda peponi??? Paradiso???? Pale israeli?????Yes wale jamaa wana non verbal communication lol!
Endelea kufurahisha jopo, unajichoresha tuna enjoooy .....pumba zakoUWEZO WAKO WA KUFIKIRI NDO UMEISHIA HAPO?
Achana na story za kusadikika. Tupige kazi, tuache uvivu, tufikiri nje ya box ili tuweze kufika kule waliko wenzetu. Tukiendeleea kusubiri huruma za dunia ooh tulikuwa mbali zamani, ohh tulihujumiwa na wazungu n.k hazitasaidia. Wachina wamesonga mbele, walikuwa kama sisi, Wahindi wanasonga mbele, Waarabu wamepiga hatua. Na sisi tupige hatua. Achana kabisa na story za kusadikika. KAMA KUSOMA HUJUI SI HATA PICHA UNAIONA? DINI ZIMELETWA NA WATU WA KUJA, ELIMU IMELETWA NA WATU WA KUJA. HAO WAAFRIKA WALITAWALA DUNIA KWANINI HAWAKUACHA HATA DINI YAO HUKO? TUACHE KULALAMIKA, TUJITUME.Ndio, na nyani wapo mpaka leo, huyo nyoka anayeongea yuko wapi? Penda Sana hadithi mzuri, unachukia rangi yako ya ngozi na kujichukia mwenyewe!!!! Moyoni unatamani Sana ungekuwa mweupe,ungepata dawa ungechibua kabisa????