Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Watu weusi hamna kitu, tulishazidiwa na bado tunazidiwa kimaarifa, kiteknolojia, kitabibu, kibiashara, kisiasa, kiuchumi, kiufugaji, katika kilimo, katika uchumi, hata kivita tukijaribu tutashindwa tu na hata katika sehemu zote za maisha.
Sisi tunachowazidi wazungu, waarabu na races zingine ni Uvivu na Majungu TU!
Sisi tunachowazidi wazungu, waarabu na races zingine ni Uvivu na Majungu TU!